
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akifanya mazoezi katika viwanja vya Ikulu
kufuatia ushauri wa madaktari waliomtaka afanye hivyo mara tatu kwa siku
ili kuendelea kuimarisha afya yake baada ya kufanyiwa upasuaji mwezi
uliopita katika hospitali ya Johns Hopkins nchini Marekani.
No comments:
Post a Comment