- Rais Jakaya Kikwete ametoa msamaha kwa wafungwa 4969, wakiwemo 4082 ambao wamepunguziwa adhabu zao na 887 ambao wataachiwa huru.
Watanzania jana wameadhimisha miaka 53 ya uhuru wa Tanganyika ambayo mwaka 1964
iliungana na Zanzibar na kuunda Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Maadhimisho hayo yalifanyika kitaifa jijini Dar es salaam katika uwanja wa Taifa ambapo mgeni rasmi alikuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Amiri Jeshi Mkuu Mheshimiwa Jakaya Kikwete.
Sherehe za maadhimisho hayo zimepambwa na gwaride lililoandaliwa na Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania ambalo pia lilivishikisha vikosi vya Jeshi la Kujenga Taifa-JKT, Polisi na Magereza.
Wakati huo huo Rais Jakaya Kikwete ametoa msamaha kwa wafungwa 4969, wakiwemo 4082 ambao wamepunguziwa adhabu zao na 887 ambao wataachiwa huru.
Taarifa ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi imesema wafungwa watakaonufaika na msamaha huo kuwa ni wenye magonjwa kama UKIMWI, Kifua Kikuu, Saratani walio katika hali mbaya, wazee wenye umri wa 70 au zaidi, umri ambao utapaswa kuthibitishwa na jopo la waganga chini ya uenyekiti wa mganga mkuu wa mkoa au wilaya.
Wengine ni wafungwa wa kike walioingia na mimba gerezani pamoja na wale walioingia na watoto wanaonyonya na wasionyonya, wafungwa wenye ulemavu wa mwili na akili ambao utathibishwa na jopo la waganga chini ya uenyekiti wa mhanga mkuu wa Mkoa au wilaya.
Wafungwa ambao hawatanufaika na msamaha huo ni pamoja na wale waliohukumiwa kunyongwa, waliohukumiwa kwa makosa ya kuomba na kupokea au kutoa rushwa na wale wanaotumikia kifungo kwa makosa ya unyang'anyi wa kutumia silaha, kubaka au kulawiti.
Maadhimisho hayo yalifanyika kitaifa jijini Dar es salaam katika uwanja wa Taifa ambapo mgeni rasmi alikuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Amiri Jeshi Mkuu Mheshimiwa Jakaya Kikwete.
Sherehe za maadhimisho hayo zimepambwa na gwaride lililoandaliwa na Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania ambalo pia lilivishikisha vikosi vya Jeshi la Kujenga Taifa-JKT, Polisi na Magereza.
Wakati huo huo Rais Jakaya Kikwete ametoa msamaha kwa wafungwa 4969, wakiwemo 4082 ambao wamepunguziwa adhabu zao na 887 ambao wataachiwa huru.
Taarifa ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi imesema wafungwa watakaonufaika na msamaha huo kuwa ni wenye magonjwa kama UKIMWI, Kifua Kikuu, Saratani walio katika hali mbaya, wazee wenye umri wa 70 au zaidi, umri ambao utapaswa kuthibitishwa na jopo la waganga chini ya uenyekiti wa mganga mkuu wa mkoa au wilaya.
Wengine ni wafungwa wa kike walioingia na mimba gerezani pamoja na wale walioingia na watoto wanaonyonya na wasionyonya, wafungwa wenye ulemavu wa mwili na akili ambao utathibishwa na jopo la waganga chini ya uenyekiti wa mhanga mkuu wa Mkoa au wilaya.
Wafungwa ambao hawatanufaika na msamaha huo ni pamoja na wale waliohukumiwa kunyongwa, waliohukumiwa kwa makosa ya kuomba na kupokea au kutoa rushwa na wale wanaotumikia kifungo kwa makosa ya unyang'anyi wa kutumia silaha, kubaka au kulawiti.
Sophie Mbeyu Blog
twitterfacebookgoogle pluslinkedinrss feedemail
WELCOME SOPHIE MBEYU BLOG | ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT A CHEAP
PRICE MORE INFORMATION CONTACT US: +460762898798 | Email:
sophiambeyu@msn.com | KARIBU SOPHIE MBEYU BLOG | TANGAZA BIASHARA YAKO
HAPA KWA GHARAMA NAFUU KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NASI: +460762898798 |
Barua Pepe: sophiembeyu@msn.com | DO YOU NEED TO DEVELOP YOUR BLOG
CONTACT US CLICK HERE | JE UNAHITAJI KUBORESHA BLOG YAKO WASILIANA NASI
BOFYA HAPA
Home
About
Products
LIVE TV
Radio
Contact
Wednesday, 10 December 2014
WAFUNGWA 4,969 WAPATA MSAMAHA WA RAIS
Rais Jakaya Kikwete (pichani), ametoa msamaha kwa wafungwa 4,969
wanaotumikia adhabu zao katika magereza mbalimbali nchini.
Taarifa ya Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe,
iliyotolewa jijini Dar es Salaam jana, ilisema Rais Kikwete amechukua
hatua hiyo katika kuadhimisha miaka 53 ya Uhuru wa Tanzania Bara.
Katika msamaha huo, wafungwa 887 wameachiliwa huru na wengine 4,082
wamepunguziwa vifungo vyao na kubaki gerezani hadi watakapomaliza
kutumikia sehemu ya adhamu zao.
Taarifa hiyo ilieleza kwamba Rais ametumia nafasi hiyo kutokana na
madaraka aliyopewa chini ya ibara 45 (1)(d)ya katiba ya nchi.
Wafungwa watakaohusika na msamaha huo ni wale waliopunguziwa vifungo
vyao kwa utaratibu wa kawaida chini ya kifungu 49(1) cha sheria ya
magereza, wenye matatizo ya ugonjwa kama Ukimwi, kifua kikuu na saratani
iliyo hatua ya hatari.
“Wafungwa wenye matatizo haya watathibitishwa na jopo la waganga chini
ya uenyekiti wa mganga mkuu wa mkoa au wilaya,” ilisema sehemu ya
taarifa hiyo.
Kundi lingine la wafungwa waliosamehewa wametajwa kuwa wazee wenye umri
wa miaka zaidi ya 70, wanawake waliofungwa wakiwa wajawazito au watoto
wanaonyonyesha na wale wenye ulemavu wa akili au kimwili.
Hata hivyo, msamaha huo hautawahusu watu waliohukumiwa kifo au
waliobatilishwa na kuwa kifungo cha maisha.
Wengine ambao hawatakuwa kwenye msamaha huo ni wale waliofungwa kwa
makosa ya biashara ya dawa za kulevya, rushwa, unyang'anyi na kutumia
silaha, kubaka, ulawiti na unajisi.
Aidha katika kundi hilo wapo wafungwa wenye makosa ya kuwapa ujauzito
wanafunzi, matumizi mabaya ya madaraka na ubadhirifu wa fedha za umma,
biashara haramu ya binadamu na makosa ya ugaidi.
Posted by Sophia Mbeyu at 11:13
Email ThisBlogThis!Share to TwitterShare to FacebookShare to Pinterest
No comments:
Post a Comment
Links to this post
Create a Link
Newer Post Older Post Home
Translate
Powered by Translate
PLACE YOUR ADS HERE
PLACE YOUR ADS HERE
TANGAZO: UNAHITAJI VIATU WASILIANA NASI HAPA
TANGAZO: UNAHITAJI VIATU WASILIANA NASI HAPA
UNAHITAJI BOFYA PICHA HII KUONA PICHA ZAIDI
About Me
My Photo
Sophia Mbeyu
View my complete profile
Blog Archive
Popular Posts
MATOKEO YA DARASA LA SABA MWAKA 2014 YAMETOKA, INGIA HUMU KUONA
DK. CHARLES E. MSOND E AKITANGAZA MATOKEO YA DARASA LA SABA MAPEMA
HII LEO OFISINI KWAKE,MSONDA AMESEMA MATOKEO YA MWAKA HUU UFAURU WAKE
...
MITINDO YA VITENGE KWA WANAWAKE NA WANAUME...
KAMA INAVYYONYESHA PICHA! VAZI LAKITENGE LAWEZA KUTUMIWA KAMA VAZI
LA OFISI AMA CASUAL SIO LAZIMA KITENGE KIWE N...
MITINDO YA VITENGE KWA AKINA DADA NA WATOTO..
MITINDO MBALIMBALI YA VITENGE, VIATU NA HANDBAG ZA KITENGE....
MITINDO YA VITENGE,VIATU, MIKUFU KWA AJILI YA SHEREHE MAALUM!
MITINDO YA VITENGE
HII NI SKIRT ILIYOSHONWA KWA KITENGE! KAMA TULIVYOONA SASA HIVI
VITENGE SIYO TU MAGAUNI HATA SKIRT, SURUALI NA E.T.C... AKINA B...
MITINDO BOMBA YA VITENGE!
Huhitaji nguo za majina kupendeza, kitu cha kitenge tosha kabisa
kukutoa bomba!
MITINDO MBALIMBALI YA VITENGE.....
MITINDO YA VITENGE
Mitindo ya Vitenge inaweza kushonwa katika dizain mbalimbali, hii
inaonyesha mitindo kwa vijana ni katika kuonyesha kuwa kitenge si lazima
...
MITINDO YA VITENGE KWA WOTE,.... WADAU WA VITENGE KILA WIKI KUNA
POST YA VITENGE FUATILIA POST ZA NYUMA KUPATA MITINDO MBALIMBALI
ZAIDI...
Labels
African day 2008 may
AMUUA BABA YAKE KUMUOKOA SHANGAZI YAKE ALIYEKUWA ANABAKWA-
NACHINGWEA
ARIEL SHARON AFARIKI
ASEMA YADHOOFISHA UCHUMI AFRIKA
aswira Kutoka Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar:Rais wa
Comoro Awasili Zanzibar Kuhudhuria Maadhimisho ya Sherehe za Miaka 50 ya
Mapinduzi
BAADA YA BASI KUGONGA NA KUUA WATATU
BABA NA MWANA JAY-Z NA MWANAE BLUE IVY..
Biza mupulu artist
Biza mupulu Botswana
BREAKING NEWS: FIFA YAHAMISHA MUDA WA KOMBE LA DUNIA MWAKA 2022 HUKO
QATAR
HABARI ZA KIMATAIFA/ WAUMINI WAUAWA MSIKITINI NCHINI NIGERIA
HABARI ZA UMBEYA/. WAKATI WEMA AKITUMA VIDEO YA DIAMOND AKIWA
KITANDANI
HAKUNA KAMA MWANAMKE
HAPO NAPO SASA
IGP ATANGAZA MABADILIKO MAKUBWA JESHI LA POLISI.
IJUMAA NJEMA WADAU WA SOPHIEMBEYU BLOG....
IMETANGAZWA RASMI KESHO NI SIKU YA MAPUMZIKO KUSHEHEREKEA MAPINDUZI:
Kundi la FM Academia
KUTWAA TUZO YA MWANASOKA BORA WA AFRIKA NJE YA AFRIKA
Machael Jackson kuaga dunia
MADAWA YA KULEVYA YAINGIZWA SUPERMARKET KATIKA MAKASHA YA NDIZI
MAGAZETI YA LEO IJUMAA 10 JANUARY 2014
Magonjwa ya mlipuko yanukia jijini Dar
MAN UNITED YAZINDUKA
Mariam bongo
MAWAZIRI WAPYA WATANO WATAJWA TANZANIA
MITINDO YA NYWELE
MITINDO YA VITENGE
MKAPA AIPONDA MISAADA KUTOKA NJE
MSIKIE JOKATE AKIONGELEA MUZIKI NA FILAMU.......
Mwekezaji abomoa nyumba za wananchi wa Mkuyuni-Morogoro ili kupisha
ujenzi wa Majosho.11 jan mgogoro
Nondoz wa Bongo waliokamilisha kisomo chao Data India.
Pablo Machine Familia dar
Pablo Machine na watoto
Pablo Machine na wakenya kwenye festival
Pablo Machine Sabiti
PENNY NAE ANENA "HAITATOKEA KAMWE NIKAMDHARAU DIAMOND
PICHA ZA WATUHUMIWA WALIOKAMATWA WAKISAFIRISHA SILAHA ZA KIVITA
KATAVI
PICTURE OF THE DAY..KWA RAHA ZAO
Rais wa Zanzibar Dr Ali Shein Aendelea Kutunuku Nishani
Rihanna out in Barbados
RWANDA YAKANUSHA UVUMI KUHUSU KIFO CHA KAGAME
SABABU YA KIFO CHA MPENDWA WETU ZAINAB BUZOHERA
TASWIRA MBALI MBALI KATIKA SHEREHE YA MIAKA 50 YA MAPINDUZI ZANZIBAR
LEO 12/01/2014
UNAKANDAMIZA ...
VAZI LA LEO
Wa Bongo
WAFANYABIASHARA WA DAR WAGOMEA MASHINE ZA KODI ZA TRA
WAFUNGA MADUKA LEO
Wakali bongo hawo
WANANCHI WALITEKETEZA BASI KWA MOTO
WAZIRI KIGODA : MFUMO MASHINE EFDs NI MBOVU
WEEKEND NJEMA WADAU WA SOPHIEMBEYU BLOG....NAWAPENDAAA MINGIIII.
WEMA NI MAMA KIJACHO? SOMA ALICHOANDIKA HAPO
Wizara ya maliasili na utalii imewasimamisha kazi watumishi wake 22
wa idara ya wanyama pori
YAICHAPA 2-0 SWANSEA CITY
Yatima Dar walilia madarasa yakujisomea
PLACE YOUR ADS HERE
PLACE YOUR ADS HERE
powered by
Slideshow
Loading...
Sikiliza clouds radio
SIKILIZA KWANZA JAMII RADIO
Followers
Google+ Followers
Total visitors
Total Pageviews
Sparkline 1278384
CLOCK & CALENDAR
buy research paper custom essay writing answering service care
December 2014
S M T W T F S
1 2 3 4 5 6
7 8 9 10 11 12 13
14 15 16 17 18 19 20
21 22 23 24 25 26 27
28 29 30 31
Free Counter
Counter Free
PLACE YOUR ADS HERE
PLACE YOUR ADS HERE
WEBSITES & BLOGS
MICHUZI
JIACHIE
BONGOBLOGS
TanzMED
Wavuti
Allyshams
Myummah76
Francis Godwin
Globalpublishers
Full Shangwe
Ladyjaydee
Swahili TV
TMF
Haki Ngowi
Mimi na Tanzania
Mo Blog
Chadema Blog
CCM Blog
January Makamba
Zitto kabwe
Habari Leo
Daily News
Mwananchi
Mtanzania
Tanzania Daima
Raia Mwema
Majira
Mwanaspoti
The Citizen
Daraja Letu
IPP Media
Bashir Nkoromo
BBC Swahili
Sauti ya Amerika
Jamii Forums
BLOG DEVELOPMENT
BLOG DEVELOPMENT
AUDIO BAR
SIKILIZA BRAND NEW TRACK HAPA!!
VIDEO BAR
UNATAKA KUPUNGUA UZITO!!
CLICK THIS IMAGE
Contact Form
Name
Email *
Message *
TANGAZO: UNAHITAJI VIATU WASILIANA NASI HAPA
TANGAZO: UNAHITAJI VIATU WASILIANA NASI HAPA
UNAHITAJI BOFYA PICHA HII KUONA PICHA ZAIDI
UNAHITAJI KUPUNGUA UZITO
WEIGHT MANAGEMENT
UNAHITAJI KIKAPU
UNAHITAJI KIKAPU
SANDALS
SANDALS
ADVERTISE WITH US
PLACE YOUR ADS HERE
AFRICAN FASHION
TANGAZO BOFYA!
Copyright (c) 2007 Sophie Mbeyu Blog | Maintained By ALLY S MGIDO'S
+255657615174
Make Money at : http://bit.ly/copy_win
Make Money at : http://bit.ly/copy_win
Sophie Mbeyu Blog
twitterfacebookgoogle pluslinkedinrss feedemail
WELCOME SOPHIE MBEYU BLOG | ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT A CHEAP
PRICE MORE INFORMATION CONTACT US: +460762898798 | Email:
sophiambeyu@msn.com | KARIBU SOPHIE MBEYU BLOG | TANGAZA BIASHARA YAKO
HAPA KWA GHARAMA NAFUU KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NASI: +460762898798 |
Barua Pepe: sophiembeyu@msn.com | DO YOU NEED TO DEVELOP YOUR BLOG
CONTACT US CLICK HERE | JE UNAHITAJI KUBORESHA BLOG YAKO WASILIANA NASI
BOFYA HAPA
Home
About
Products
LIVE TV
Radio
Contact
Wednesday, 10 December 2014
WAFUNGWA 4,969 WAPATA MSAMAHA WA RAIS
Rais Jakaya Kikwete (pichani), ametoa msamaha kwa wafungwa 4,969
wanaotumikia adhabu zao katika magereza mbalimbali nchini.
Taarifa ya Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe,
iliyotolewa jijini Dar es Salaam jana, ilisema Rais Kikwete amechukua
hatua hiyo katika kuadhimisha miaka 53 ya Uhuru wa Tanzania Bara.
Katika msamaha huo, wafungwa 887 wameachiliwa huru na wengine 4,082
wamepunguziwa vifungo vyao na kubaki gerezani hadi watakapomaliza
kutumikia sehemu ya adhamu zao.
Taarifa hiyo ilieleza kwamba Rais ametumia nafasi hiyo kutokana na
madaraka aliyopewa chini ya ibara 45 (1)(d)ya katiba ya nchi.
Wafungwa watakaohusika na msamaha huo ni wale waliopunguziwa vifungo
vyao kwa utaratibu wa kawaida chini ya kifungu 49(1) cha sheria ya
magereza, wenye matatizo ya ugonjwa kama Ukimwi, kifua kikuu na saratani
iliyo hatua ya hatari.
“Wafungwa wenye matatizo haya watathibitishwa na jopo la waganga chini
ya uenyekiti wa mganga mkuu wa mkoa au wilaya,” ilisema sehemu ya
taarifa hiyo.
Kundi lingine la wafungwa waliosamehewa wametajwa kuwa wazee wenye umri
wa miaka zaidi ya 70, wanawake waliofungwa wakiwa wajawazito au watoto
wanaonyonyesha na wale wenye ulemavu wa akili au kimwili.
Hata hivyo, msamaha huo hautawahusu watu waliohukumiwa kifo au
waliobatilishwa na kuwa kifungo cha maisha.
Wengine ambao hawatakuwa kwenye msamaha huo ni wale waliofungwa kwa
makosa ya biashara ya dawa za kulevya, rushwa, unyang'anyi na kutumia
silaha, kubaka, ulawiti na unajisi.
Aidha katika kundi hilo wapo wafungwa wenye makosa ya kuwapa ujauzito
wanafunzi, matumizi mabaya ya madaraka na ubadhirifu wa fedha za umma,
biashara haramu ya binadamu na makosa ya ugaidi.
Posted by Sophia Mbeyu at 11:13
Email ThisBlogThis!Share to TwitterShare to FacebookShare to Pinterest
No comments:
Post a Comment
Links to this post
Create a Link
Newer Post Older Post Home
Translate
Powered by Translate
PLACE YOUR ADS HERE
PLACE YOUR ADS HERE
TANGAZO: UNAHITAJI VIATU WASILIANA NASI HAPA
TANGAZO: UNAHITAJI VIATU WASILIANA NASI HAPA
UNAHITAJI BOFYA PICHA HII KUONA PICHA ZAIDI
About Me
My Photo
Sophia Mbeyu
View my complete profile
Blog Archive
Popular Posts
MATOKEO YA DARASA LA SABA MWAKA 2014 YAMETOKA, INGIA HUMU KUONA
DK. CHARLES E. MSOND E AKITANGAZA MATOKEO YA DARASA LA SABA MAPEMA
HII LEO OFISINI KWAKE,MSONDA AMESEMA MATOKEO YA MWAKA HUU UFAURU WAKE
...
MITINDO YA VITENGE KWA WANAWAKE NA WANAUME...
KAMA INAVYYONYESHA PICHA! VAZI LAKITENGE LAWEZA KUTUMIWA KAMA VAZI
LA OFISI AMA CASUAL SIO LAZIMA KITENGE KIWE N...
MITINDO YA VITENGE KWA AKINA DADA NA WATOTO..
MITINDO MBALIMBALI YA VITENGE, VIATU NA HANDBAG ZA KITENGE....
MITINDO YA VITENGE,VIATU, MIKUFU KWA AJILI YA SHEREHE MAALUM!
MITINDO YA VITENGE
HII NI SKIRT ILIYOSHONWA KWA KITENGE! KAMA TULIVYOONA SASA HIVI
VITENGE SIYO TU MAGAUNI HATA SKIRT, SURUALI NA E.T.C... AKINA B...
MITINDO BOMBA YA VITENGE!
Huhitaji nguo za majina kupendeza, kitu cha kitenge tosha kabisa
kukutoa bomba!
MITINDO MBALIMBALI YA VITENGE.....
MITINDO YA VITENGE
Mitindo ya Vitenge inaweza kushonwa katika dizain mbalimbali, hii
inaonyesha mitindo kwa vijana ni katika kuonyesha kuwa kitenge si lazima
...
MITINDO YA VITENGE KWA WOTE,.... WADAU WA VITENGE KILA WIKI KUNA
POST YA VITENGE FUATILIA POST ZA NYUMA KUPATA MITINDO MBALIMBALI
ZAIDI...
Labels
African day 2008 may
AMUUA BABA YAKE KUMUOKOA SHANGAZI YAKE ALIYEKUWA ANABAKWA-
NACHINGWEA
ARIEL SHARON AFARIKI
ASEMA YADHOOFISHA UCHUMI AFRIKA
aswira Kutoka Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar:Rais wa
Comoro Awasili Zanzibar Kuhudhuria Maadhimisho ya Sherehe za Miaka 50 ya
Mapinduzi
BAADA YA BASI KUGONGA NA KUUA WATATU
BABA NA MWANA JAY-Z NA MWANAE BLUE IVY..
Biza mupulu artist
Biza mupulu Botswana
BREAKING NEWS: FIFA YAHAMISHA MUDA WA KOMBE LA DUNIA MWAKA 2022 HUKO
QATAR
HABARI ZA KIMATAIFA/ WAUMINI WAUAWA MSIKITINI NCHINI NIGERIA
HABARI ZA UMBEYA/. WAKATI WEMA AKITUMA VIDEO YA DIAMOND AKIWA
KITANDANI
HAKUNA KAMA MWANAMKE
HAPO NAPO SASA
IGP ATANGAZA MABADILIKO MAKUBWA JESHI LA POLISI.
IJUMAA NJEMA WADAU WA SOPHIEMBEYU BLOG....
IMETANGAZWA RASMI KESHO NI SIKU YA MAPUMZIKO KUSHEHEREKEA MAPINDUZI:
Kundi la FM Academia
KUTWAA TUZO YA MWANASOKA BORA WA AFRIKA NJE YA AFRIKA
Machael Jackson kuaga dunia
MADAWA YA KULEVYA YAINGIZWA SUPERMARKET KATIKA MAKASHA YA NDIZI
MAGAZETI YA LEO IJUMAA 10 JANUARY 2014
Magonjwa ya mlipuko yanukia jijini Dar
MAN UNITED YAZINDUKA
Mariam bongo
MAWAZIRI WAPYA WATANO WATAJWA TANZANIA
MITINDO YA NYWELE
MITINDO YA VITENGE
MKAPA AIPONDA MISAADA KUTOKA NJE
MSIKIE JOKATE AKIONGELEA MUZIKI NA FILAMU.......
Mwekezaji abomoa nyumba za wananchi wa Mkuyuni-Morogoro ili kupisha
ujenzi wa Majosho.11 jan mgogoro
Nondoz wa Bongo waliokamilisha kisomo chao Data India.
Pablo Machine Familia dar
Pablo Machine na watoto
Pablo Machine na wakenya kwenye festival
Pablo Machine Sabiti
PENNY NAE ANENA "HAITATOKEA KAMWE NIKAMDHARAU DIAMOND
PICHA ZA WATUHUMIWA WALIOKAMATWA WAKISAFIRISHA SILAHA ZA KIVITA
KATAVI
PICTURE OF THE DAY..KWA RAHA ZAO
Rais wa Zanzibar Dr Ali Shein Aendelea Kutunuku Nishani
Rihanna out in Barbados
RWANDA YAKANUSHA UVUMI KUHUSU KIFO CHA KAGAME
SABABU YA KIFO CHA MPENDWA WETU ZAINAB BUZOHERA
TASWIRA MBALI MBALI KATIKA SHEREHE YA MIAKA 50 YA MAPINDUZI ZANZIBAR
LEO 12/01/2014
UNAKANDAMIZA ...
VAZI LA LEO
Wa Bongo
WAFANYABIASHARA WA DAR WAGOMEA MASHINE ZA KODI ZA TRA
WAFUNGA MADUKA LEO
Wakali bongo hawo
WANANCHI WALITEKETEZA BASI KWA MOTO
WAZIRI KIGODA : MFUMO MASHINE EFDs NI MBOVU
WEEKEND NJEMA WADAU WA SOPHIEMBEYU BLOG....NAWAPENDAAA MINGIIII.
WEMA NI MAMA KIJACHO? SOMA ALICHOANDIKA HAPO
Wizara ya maliasili na utalii imewasimamisha kazi watumishi wake 22
wa idara ya wanyama pori
YAICHAPA 2-0 SWANSEA CITY
Yatima Dar walilia madarasa yakujisomea
PLACE YOUR ADS HERE
PLACE YOUR ADS HERE
powered by
Slideshow
Loading...
Sikiliza clouds radio
SIKILIZA KWANZA JAMII RADIO
Followers
Google+ Followers
Total visitors
Total Pageviews
Sparkline 1278384
CLOCK & CALENDAR
buy research paper custom essay writing answering service care
December 2014
S M T W T F S
1 2 3 4 5 6
7 8 9 10 11 12 13
14 15 16 17 18 19 20
21 22 23 24 25 26 27
28 29 30 31
Free Counter
Counter Free
PLACE YOUR ADS HERE
PLACE YOUR ADS HERE
WEBSITES & BLOGS
MICHUZI
JIACHIE
BONGOBLOGS
TanzMED
Wavuti
Allyshams
Myummah76
Francis Godwin
Globalpublishers
Full Shangwe
Ladyjaydee
Swahili TV
TMF
Haki Ngowi
Mimi na Tanzania
Mo Blog
Chadema Blog
CCM Blog
January Makamba
Zitto kabwe
Habari Leo
Daily News
Mwananchi
Mtanzania
Tanzania Daima
Raia Mwema
Majira
Mwanaspoti
The Citizen
Daraja Letu
IPP Media
Bashir Nkoromo
BBC Swahili
Sauti ya Amerika
Jamii Forums
BLOG DEVELOPMENT
BLOG DEVELOPMENT
AUDIO BAR
SIKILIZA BRAND NEW TRACK HAPA!!
VIDEO BAR
UNATAKA KUPUNGUA UZITO!!
CLICK THIS IMAGE
Contact Form
Name
Email *
Message *
TANGAZO: UNAHITAJI VIATU WASILIANA NASI HAPA
TANGAZO: UNAHITAJI VIATU WASILIANA NASI HAPA
UNAHITAJI BOFYA PICHA HII KUONA PICHA ZAIDI
UNAHITAJI KUPUNGUA UZITO
WEIGHT MANAGEMENT
UNAHITAJI KIKAPU
UNAHITAJI KIKAPU
SANDALS
SANDALS
ADVERTISE WITH US
PLACE YOUR ADS HERE
AFRICAN FASHION
TANGAZO BOFYA!
Copyright (c) 2007 Sophie Mbeyu Blog | Maintained By ALLY S MGIDO'S
+255657615174
Make Money at : http://bit.ly/copy_win
Make Money at : http://bit.ly/copy_win
WAFUNGWA 4,969 WAPATA
MSAMAHA WA RAIS
Rais Jakaya Kikwete (pichani), ametoa msamaha kwa wafungwa 4,969
wanaotumikia adhabu zao katika magereza mbalimbali nchini.
Taarifa ya Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe,
iliyotolewa jijini Dar es Salaam jana, ilisema Rais Kikwete amechukua
hatua hiyo katika kuadhimisha miaka 53 ya Uhuru wa Tanzania Bara.
Katika msamaha huo, wafungwa 887 wameachiliwa huru na wengine 4,082
wamepunguziwa vifungo vyao na kubaki gerezani hadi watakapomaliza
kutumikia sehemu ya adhamu zao.
Taarifa hiyo ilieleza kwamba Rais ametumia nafasi hiyo kutokana na
madaraka aliyopewa chini ya ibara 45 (1)(d)ya katiba ya nchi.
Wafungwa watakaohusika na msamaha huo ni wale waliopunguziwa vifungo
vyao kwa utaratibu wa kawaida chini ya kifungu 49(1) cha sheria ya
magereza, wenye matatizo ya ugonjwa kama Ukimwi, kifua kikuu na saratani
iliyo hatua ya hatari.
“Wafungwa wenye matatizo haya watathibitishwa na jopo la waganga chini
ya uenyekiti wa mganga mkuu wa mkoa au wilaya,” ilisema sehemu ya
taarifa hiyo.
Kundi lingine la wafungwa waliosamehewa wametajwa kuwa wazee wenye umri
wa miaka zaidi ya 70, wanawake waliofungwa wakiwa wajawazito au watoto
wanaonyonyesha na wale wenye ulemavu wa akili au kimwili.
Hata hivyo, msamaha huo hautawahusu watu waliohukumiwa kifo au
waliobatilishwa na kuwa kifungo cha maisha.
Wengine ambao hawatakuwa kwenye msamaha huo ni wale waliofungwa kwa
makosa ya biashara ya dawa za kulevya, rushwa, unyang'anyi na kutumia
silaha, kubaka, ulawiti na unajisi.
Aidha katika kundi hilo wapo wafungwa wenye makosa ya kuwapa ujauzito
wanafunzi, matumizi mabaya ya madaraka na ubadhirifu wa fedha za umma,
biashara haramu ya binadamu na makosa ya ugaidi.
Make Money at : http://bit.ly/copy_win
Make Money at : http://bit.ly/copy_win
WAFUNGWA 4,969 WAPATA
MSAMAHA WA RAIS
Rais Jakaya Kikwete (pichani), ametoa msamaha kwa wafungwa 4,969
wanaotumikia adhabu zao katika magereza mbalimbali nchini.
Taarifa ya Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe,
iliyotolewa jijini Dar es Salaam jana, ilisema Rais Kikwete amechukua
hatua hiyo katika kuadhimisha miaka 53 ya Uhuru wa Tanzania Bara.
Katika msamaha huo, wafungwa 887 wameachiliwa huru na wengine 4,082
wamepunguziwa vifungo vyao na kubaki gerezani hadi watakapomaliza
kutumikia sehemu ya adhamu zao.
Taarifa hiyo ilieleza kwamba Rais ametumia nafasi hiyo kutokana na
madaraka aliyopewa chini ya ibara 45 (1)(d)ya katiba ya nchi.
Wafungwa watakaohusika na msamaha huo ni wale waliopunguziwa vifungo
vyao kwa utaratibu wa kawaida chini ya kifungu 49(1) cha sheria ya
magereza, wenye matatizo ya ugonjwa kama Ukimwi, kifua kikuu na saratani
iliyo hatua ya hatari.
“Wafungwa wenye matatizo haya watathibitishwa na jopo la waganga chini
ya uenyekiti wa mganga mkuu wa mkoa au wilaya,” ilisema sehemu ya
taarifa hiyo.
Kundi lingine la wafungwa waliosamehewa wametajwa kuwa wazee wenye umri
wa miaka zaidi ya 70, wanawake waliofungwa wakiwa wajawazito au watoto
wanaonyonyesha na wale wenye ulemavu wa akili au kimwili.
Hata hivyo, msamaha huo hautawahusu watu waliohukumiwa kifo au
waliobatilishwa na kuwa kifungo cha maisha.
Wengine ambao hawatakuwa kwenye msamaha huo ni wale waliofungwa kwa
makosa ya biashara ya dawa za kulevya, rushwa, unyang'anyi na kutumia
silaha, kubaka, ulawiti na unajisi.
Aidha katika kundi hilo wapo wafungwa wenye makosa ya kuwapa ujauzito
wanafunzi, matumizi mabaya ya madaraka na ubadhirifu wa fedha za umma,
biashara haramu ya binadamu na makosa ya ugaidi.
Make Money at : http://bit.ly/copy_win
Make Money at : http://bit.ly/copy_win
WAFUNGWA 4,969 WAPATA
MSAMAHA WA RAIS
Rais Jakaya Kikwete (pichani), ametoa msamaha kwa wafungwa 4,969
wanaotumikia adhabu zao katika magereza mbalimbali nchini.
Taarifa ya Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe,
iliyotolewa jijini Dar es Salaam jana, ilisema Rais Kikwete amechukua
hatua hiyo katika kuadhimisha miaka 53 ya Uhuru wa Tanzania Bara.
Katika msamaha huo, wafungwa 887 wameachiliwa huru na wengine 4,082
wamepunguziwa vifungo vyao na kubaki gerezani hadi watakapomaliza
kutumikia sehemu ya adhamu zao.
Taarifa hiyo ilieleza kwamba Rais ametumia nafasi hiyo kutokana na
madaraka aliyopewa chini ya ibara 45 (1)(d)ya katiba ya nchi.
Wafungwa watakaohusika na msamaha huo ni wale waliopunguziwa vifungo
vyao kwa utaratibu wa kawaida chini ya kifungu 49(1) cha sheria ya
magereza, wenye matatizo ya ugonjwa kama Ukimwi, kifua kikuu na saratani
iliyo hatua ya hatari.
“Wafungwa wenye matatizo haya watathibitishwa na jopo la waganga chini
ya uenyekiti wa mganga mkuu wa mkoa au wilaya,” ilisema sehemu ya
taarifa hiyo.
Kundi lingine la wafungwa waliosamehewa wametajwa kuwa wazee wenye umri
wa miaka zaidi ya 70, wanawake waliofungwa wakiwa wajawazito au watoto
wanaonyonyesha na wale wenye ulemavu wa akili au kimwili.
Hata hivyo, msamaha huo hautawahusu watu waliohukumiwa kifo au
waliobatilishwa na kuwa kifungo cha maisha.
Wengine ambao hawatakuwa kwenye msamaha huo ni wale waliofungwa kwa
makosa ya biashara ya dawa za kulevya, rushwa, unyang'anyi na kutumia
silaha, kubaka, ulawiti na unajisi.
Aidha katika kundi hilo wapo wafungwa wenye makosa ya kuwapa ujauzito
wanafunzi, matumizi mabaya ya madaraka na ubadhirifu wa fedha za umma,
biashara haramu ya binadamu na makosa ya ugaidi.
Make Money at : http://bit.ly/copy_win
Make Money at : http://bit.ly/copy_win
WAFUNGWA 4,969 WAPATA
MSAMAHA WA RAIS
Rais Jakaya Kikwete (pichani), ametoa msamaha kwa wafungwa 4,969
wanaotumikia adhabu zao katika magereza mbalimbali nchini.
Taarifa ya Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe,
iliyotolewa jijini Dar es Salaam jana, ilisema Rais Kikwete amechukua
hatua hiyo katika kuadhimisha miaka 53 ya Uhuru wa Tanzania Bara.
Katika msamaha huo, wafungwa 887 wameachiliwa huru na wengine 4,082
wamepunguziwa vifungo vyao na kubaki gerezani hadi watakapomaliza
kutumikia sehemu ya adhamu zao.
Taarifa hiyo ilieleza kwamba Rais ametumia nafasi hiyo kutokana na
madaraka aliyopewa chini ya ibara 45 (1)(d)ya katiba ya nchi.
Wafungwa watakaohusika na msamaha huo ni wale waliopunguziwa vifungo
vyao kwa utaratibu wa kawaida chini ya kifungu 49(1) cha sheria ya
magereza, wenye matatizo ya ugonjwa kama Ukimwi, kifua kikuu na saratani
iliyo hatua ya hatari.
“Wafungwa wenye matatizo haya watathibitishwa na jopo la waganga chini
ya uenyekiti wa mganga mkuu wa mkoa au wilaya,” ilisema sehemu ya
taarifa hiyo.
Kundi lingine la wafungwa waliosamehewa wametajwa kuwa wazee wenye umri
wa miaka zaidi ya 70, wanawake waliofungwa wakiwa wajawazito au watoto
wanaonyonyesha na wale wenye ulemavu wa akili au kimwili.
Hata hivyo, msamaha huo hautawahusu watu waliohukumiwa kifo au
waliobatilishwa na kuwa kifungo cha maisha.
Wengine ambao hawatakuwa kwenye msamaha huo ni wale waliofungwa kwa
makosa ya biashara ya dawa za kulevya, rushwa, unyang'anyi na kutumia
silaha, kubaka, ulawiti na unajisi.
Aidha katika kundi hilo wapo wafungwa wenye makosa ya kuwapa ujauzito
wanafunzi, matumizi mabaya ya madaraka na ubadhirifu wa fedha za umma,
biashara haramu ya binadamu na makosa ya ugaidi.
Make Money at : http://bit.ly/copy_win
Make Money at : http://bit.ly/copy_win
No comments:
Post a Comment