![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg7iUcJOEyAu0CPYrVxIJTh4plWebVp_Gz86ZJVmLoaupCHR9XCiO2xVJMyzldZ-u1jqd4t0r2dCLXY_H_qpk-lTYtmkAg1SqsyWWtrtifwBYC7d0BhSysPeBvVXaQsKRkYokr1LCz9rrxW/s1600-rw/WEMA2221.jpg)
Kuna tetesi kuwa mwigizaji Wema Sepetu baada ya kuachana na Diamond Platnumz kwa sasa ana uhusiano na mwanamitindo Mtanzania anayefanya kazi zake Afrika Kusini, Ally Daxx.
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEivHY8dWbSe9AmomTY3a_gpAgRktK2d8_hh3hsyXMOV-xxEW6HjCKSyuQMuRgwEdkGR67gzm0Hr3LrtzFPXmuEWvF19I-GhZ4Udco79iSO-TKqC8idnWkZ6qDxOj8KQufri9QjxvV_KZVfM/s1600-rw/Ally-Dax.jpg)
Mwanamitindo Ally Dax.
Mwanamitindo Ally Dax. Gossip Cop alimtafuta Wema na kumuuliza kuhusu story hiyo kama kuna ukweli wowote,Wema amekataa kuwa na uhusiano na mwanamitindo huyo.
No comments:
Post a Comment