28 April, 2015

JOKATE "KUNA MTU NAMTAMANI SANA KIMAPENZI NA NINAMVUTIA KASI NIMPATE"

Aliyekuwa miss Tanzania nambari mbili Jokate Mwegelo  amefunguka kuwa kuna mtu anamtamani sana kimapenzi na anamvutia kasi kumpata

Kupitia show ya weekend “the playlist” Kidoti, alisanuka hayo akihusisha ukweli huo na kile alichokiimba kwenye hit single yake “Leo leo” na Ice Prince

“Yah nyimbo inahusiana coz kuna mtu namtamani sana yani, ila akizingua tu nambwaga bado namuangalia” alisema Jokate

Hata hivyo Jokate hakuwa tayari kumtaja mtu huyo anayemvizia.

No comments:

Post a Comment

UKIONDOA DIPLOMA, DEGREE AU PHD ULIYONAYO, KICHWA CHAKO KINABAKI NA NINI?

Horace Mann - Binadamu wa kwanza kugundua wazo la elimu Albert Einstein aliwahi kuulizwa akili ni nini? What is intellect? Akasema akili ni ...