02 May, 2015

WEMA: KWELI NIMEOLEWA! SASA MIMI NI MKE WA MTU!

Wema :Kweli Nimeolewa

Staa mrembo wa Bongo Movies, Wema Sepetu amemaliza  utaa wa picha zake zilizozagaa mtandaoni  akiwa amavalia shera kwa kuweka wazi kuwa  ni kweli ameolewa.
Leo akiongea  na kituo kimoja cha radio, Wema ameeleza kuwa yeye tayari ni mke wa mtu, na kwamba yeye na mwenza wake huyo  wameshafunga ndoa ya bomani kwani mume wake ni mkatoliki na  mme wake huyo amekubaliana na hali yake ya kutoweza kushika ujauzito.  Wema aliongeza kuwa mwisho wa mwezi wa tano watafanya party rasmi kwani harusi yao hiyo ya siri ilihusisha watu wachache sana wasiozidi wa tano .


Hongera sana Wema.

No comments:

Post a Comment

UKIONDOA DIPLOMA, DEGREE AU PHD ULIYONAYO, KICHWA CHAKO KINABAKI NA NINI?

Horace Mann - Binadamu wa kwanza kugundua wazo la elimu Albert Einstein aliwahi kuulizwa akili ni nini? What is intellect? Akasema akili ni ...