Kuna kila dalili kuwa katibu wa Wiaya ya Kibaha Vijijini ni Team Fulani .
Kitendo cha kukimbia kinaonesha ametumwa kufanya hivyo, na amekubali
kutekeleza jambo la kijinga kiasi hicho, jambo ambalo ni la
kukidhalilisha Chama Cha Mapinduzi mbele ya watanzania na mbele ya
wanachama wake maelfu waliojitokeza kumdhamini mwanachama mwenzao.
Never afraid to try on your own; No matter what, you can keep it real. Trust yourself...
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
UKIONDOA DIPLOMA, DEGREE AU PHD ULIYONAYO, KICHWA CHAKO KINABAKI NA NINI?
Horace Mann - Binadamu wa kwanza kugundua wazo la elimu Albert Einstein aliwahi kuulizwa akili ni nini? What is intellect? Akasema akili ni ...
-
Ee Mungu Mwenyezi uliyekubali Mwanao Yesu Kristu ateswe mpaka kufa msalabani kwa ajili ya dhambi zangu naomba uwe nami. Ee Msal...
-
Josephine is passionate, dedicated, reliable, responsible, and hardworking. Team worker and able to face all challenging situations. Can ...
No comments:
Post a Comment