Never afraid to try on your own; No matter what, you can keep it real. Trust yourself...
11 June, 2015
MH. GODBLESS LEMA APATA AJALI!
Mbunge wa Arusha mjini, Mhe.Godbles Lema amepata ajali ya gari alasiri JANA.
Ajali hiyo imetokea katika eneo la Burka, karibu na Uwanja wa ndege wa Arusha.
Alikuwa akielekea bungeni-Dodoma.
Gari lake-Land Cruiser limegongana na Suzuki.
Magari yote mawili yameumia vibaya, hasa Suzuki, kiasi cha kutoamini kama kuna mtu katoka salama.
Hata hivyo Mungu ni mkubwa, Mbunge, Dereva wake na watu wengine wako salama.
Ameahirisha safari, amerejea mjini kwa taratibu nyingine, ikiwa ni pamoja na kucheki afya hospitali.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
UKIONDOA DIPLOMA, DEGREE AU PHD ULIYONAYO, KICHWA CHAKO KINABAKI NA NINI?
Horace Mann - Binadamu wa kwanza kugundua wazo la elimu Albert Einstein aliwahi kuulizwa akili ni nini? What is intellect? Akasema akili ni ...
-
Ee Mungu Mwenyezi uliyekubali Mwanao Yesu Kristu ateswe mpaka kufa msalabani kwa ajili ya dhambi zangu naomba uwe nami. Ee Msal...
-
Josephine is passionate, dedicated, reliable, responsible, and hardworking. Team worker and able to face all challenging situations. Can ...
No comments:
Post a Comment