14 November, 2023

NAFANYA MAANDAMANO KUANZIA AIRPORT

 


Msanii wa Muziki kutoka Tanzania, Harmonize ambaye kwasasa yupo USA ameweka wazi kuwa ataanya paledi (Maandamano) kuanzia Airport mpaka konde Village,

 

"Tangu muziki wetu au niseme SANAA yetu ianze, SIKUMBUKI lini mara ya mwisho msanii kutoka Tanzania kulipatia hili Taifa la mama samia tuzo Tatu (3) za kimataifa ndani ya usiku mmoilja.! Moja au mbili, Nakumbuka ila Tatu sina kumbukumbu kwahiyo paledi litaanzia airport mpaka KONDE VILLAGE alafu tunakesha mpaka asubuhi, soon nawarudia na Tarehe pamoja na saa ninayotua ...! KONDE GANG MUDA WENU WA KUTAMBA.." ameandika Harmonize

 

 


No comments:

Post a Comment

UKIONDOA DIPLOMA, DEGREE AU PHD ULIYONAYO, KICHWA CHAKO KINABAKI NA NINI?

Horace Mann - Binadamu wa kwanza kugundua wazo la elimu Albert Einstein aliwahi kuulizwa akili ni nini? What is intellect? Akasema akili ni ...