16 November, 2023

USHOGA SASA RUKSA!!

Watu waliobadili jinsia wanaweza kuwa wazazi wa ubatizo katika Kanisa Katoliki, mashahidi katika harusi za kidini na kubatizwa. 

Wakati huo huo papa Francis amemfuta kazi askofu Joseph Strickland, ambae ni mkosoaji mkubwa alieibua maswali juu ya uongozi wa papa katika Kanisa Katoliki.

Askofu Srickland ni mmoja kati ya sauti kinara katika tawi la uongozi wa Kanisa Katoliki nchini Marekani ambalo linapinga vikali mabadiliko yanayopigiwa chapuo na papa Francis.

Kuondolewa kwakwe kunakuja baada ya papa kuzungumzia juu ya hali ya kuwa nyuma kifikra.



Chanzo: BBC News Swahili

No comments:

Post a Comment

UKIONDOA DIPLOMA, DEGREE AU PHD ULIYONAYO, KICHWA CHAKO KINABAKI NA NINI?

Horace Mann - Binadamu wa kwanza kugundua wazo la elimu Albert Einstein aliwahi kuulizwa akili ni nini? What is intellect? Akasema akili ni ...