Huyu ndiye mtangazaji mahiri wa Clouds, aliyetangaza nia ya kuwania nafasi ya kiti cha ubunge katika jimbo fulani, kwa jina maarufu Diva ambaye
amezua kiazaa zaa kwa kudai kwamba: "Wanaume wa bongo ni
wachafu, hawafui boxers zao, wala soxi zao na pia hawapigi mswaki midomo
yao inanuka."
Hata hivyo baada ya kauli hizo chafu, wanaume wa bongo wamekerwa na kujikuta wakitoa picha zake za utupu katika mitandao ya kijamii na magazeti pendwa ambazo zimemdhalilisha mwana dada huyu kwa asilimia 100.
Pia kuna page mbalimbali katika mitandao ya kijamii ambayo ni maalum kwa ajili ya kumtusi binti huyu ambae tayari ameshapoteza mvuto kwa jamii kubwa ya watanzania.... Pole bi dada!! Ila umeyataka mwenyewe.
No comments:
Post a Comment