12 April, 2012

BARUA YA BABA YAKE KANUMBA HII HAPA

BARUA YA BABA YAKE KANUMBA HII HAPA

Baba mzazi wa Kanumba pamoja na kutumiwa usafiri alishindwa kufika kwenye msiba wa Kanumba jana kutokana na sababu mbili kuu ambazo ni kuumwa MALARIA na kuchomwa sindano za masaa pamoja na kukutwa na BP iliyosababisha kizunguzungu.
Baada ya kuona ameshinwa kuja mwenyewe, aliamua kuwatuma ndugu watatu wa Kanumba ambao kweli walionekana msibani Kinondoni.

 kwa hisani ya Millardayo

No comments:

Post a Comment

UKIONDOA DIPLOMA, DEGREE AU PHD ULIYONAYO, KICHWA CHAKO KINABAKI NA NINI?

Horace Mann - Binadamu wa kwanza kugundua wazo la elimu Albert Einstein aliwahi kuulizwa akili ni nini? What is intellect? Akasema akili ni ...