11 April, 2012

LULU AFIKISHWA MAHAKAMANI


Siku Moja baada ya marehemu Steven Kanumba kuzikwa mtuhumiwa namba moja katika kifo cha Kanumba msanii wa filamu Elizabeth Maiko maarufu - Lulu afikishwa mahakamani na kusomewa mashtaka ya mauaji kuhusiana na kifo cha Steven Kanumba.

Kwa taarifa zaidi endelea kutembelea hapa

No comments:

Post a Comment

UKIONDOA DIPLOMA, DEGREE AU PHD ULIYONAYO, KICHWA CHAKO KINABAKI NA NINI?

Horace Mann - Binadamu wa kwanza kugundua wazo la elimu Albert Einstein aliwahi kuulizwa akili ni nini? What is intellect? Akasema akili ni ...