KATIKA JINA LA MUNGU
BABA, MUNGU MWANA, NA MUNGU ROHO MTAKATIFU ALIYE BWANA NA MWOKOZI
WAULIMWENGU WOTE NINAKUOMBA UIBADILI, NA UIBARIKI FAMILIA YANGU, KAKA
ZANGU, DADA ZANGU, WAZAZI WANGU, WAJUKUU
ZANGU NA WATU WOTE WA DUNIA HII WAKUJUE WEWE EE YESU KRISTO WANAZARETH
MWANA WA MUNGU ALIYE HAI, NA KUKUPOKEA UWE BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA
YETU YOTE, KWA MAANA UMESEMA KWENYE NENO LAKO YA KWAMBA HUPENDEZWI NA
KIFO CHA MWENYE DHAMBI.
(ZAB 7:11, EZEK 18:32 NA EZEK 33:11) | |||
- 1. Ujumbe
huu ulianza Mojojos na kuenea Duniani kote. Tengeneza nakala 28 na
kupeleka kwa ndugu, jamaa na marafiki muda wa siku 10 utapata majibu.
Usicheke wala kuitupa barua hii kwa sababu
barua hii chochote kile kinaweza kukutokea.
- (a) Mr. Corpus Mshahara wake uliongezeka baada ya kusambaza barua hii nakala
(b) Mr. Eduan Bentire alifanaya mzaha na kucheka barua hii na alipoteza familia yake
(c) Mr. Donienlus alisambaza barua nakala 28 kwa familia, ndugu na jamaa na marafiki na baadae alishinda bahati nasibu.
(d) Mr. Sisen mwaka 1973 aliomba kupeleka nakala 28 kwa familia, ndugu, jamaa na marafiki na baadae alishinda bahati nasibu ya Dola milioni 2.
Katika mwaka 1957 mama mmoja kijana wa Calfonia alipokea barua hii. Akaiona kama kero kwake na haisomeki. Lakini baadaye alisema kuwa ataichapa na kuisambaza inavyotakiwa. Akaiweka pembeni na kuisahau, akikumbuka tena na kuipeleka ilvyoagizwa kwa siku 7. Alinunua gari.
Mr. George Bush alipokea barua hii tarehe 16/11/1998 na kupeleka nakala 28 kwa marafiki, ndugu na jamaa. Baadaye alipata Urais wa Marekani.
Katika kisiwa cha Johnson Rhode Jimmy Fulei alipokea barua hii na kuisambaza nakala 28 baadaye siku 3 alikutana na mjomba wake Ferari Lanberhuti. Tafadhali kumbuka kupeleka nakala na usidharau.
2. KATIKA UPENDO NA UVUMILIVU MAMBO YOTE YANAWEKANA Hii nakala imepelekwa kwako na kwa bahati yako. Mwanzo wa barua hii ni New Zeland Imezunguka Dunia mara 9 sasa. Na bahati imetua kwako. Usipeleke pesa kwani imani hainunuliwi peleka sasa nakala 28 kwa watu unaowajua. Usiweke barua hii itoke mikononi mwako muda wa siku 10.
3. Peleka nakala 28 na angalia kitakachotokea kwa muda wa siku 7. Lalamiko hili limetokea Venezuela Limeandikwa na Mt. Paul Anton De Droup. Missionary kutoka Africa Kusini. Kutokana na barua hii ni lazima isafiri Duniani kote inakubidi uchukue nakala 28 na kuzipeleka kwa ndugu, jamaa, na marafiki na vikundi vyote wewe na mimi siku chache utaona maajabu na ni kweli kunakuamini.
4. Angalia Nd. Carlos Dagit ambaye alikuwa Afisa Mwangamiuzi Mkuu kwenye ofisi yao alishau barua hii na kuiacha. Alipoteza kazi, Baada ya muda alikumbuka na kuipeleka nakala 28 ndipo akapata kazi nzuri zaidi siku chache baadaye.
5. Kumbuka barua hii inatakiwa itoke mikononi mwako kwa muda siku 10 na utapokea bahati yako kwa muda siku 7. AHSANTE.
6. MUNGU atubariki sasa na hata milele.
No comments:
Post a Comment