30 May, 2012

TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI


  • Nafasi za kazi 105 kwa ajili yako Mtanzania… changamka sasa
  • Ni kwa wale waliohitimu kuanzia kidato cha IV, VI na elimu ya juu!

Tangazo la nafasi za kazi limetolewa na  Jamhuri ya muungano wa Tanzaniaofisi ya Rais  Sekretarieti ya ajira katika utumishi wa umma;  Pia tangazo hili linapatikana  kwenye tovuti zifuatazo:
 www.ajira.go.tz, www.utumishi.go.tz na www.pmoralg.go.tz

Sifa za Waombaji
Wawe Watanzania
Wasiwe wamezidi umri wa miaka 45

Maombi yote yapitia anuani ifuatayo:
Sekretarieti,
Ajira katika utumishi wa umma
S.L.P 63100
Dar es Salaam

Au:
Secretary,
Public Service Recruitment
P.O. Box  63100
Dar es Salaam

No comments:

Post a Comment

UKIONDOA DIPLOMA, DEGREE AU PHD ULIYONAYO, KICHWA CHAKO KINABAKI NA NINI?

Horace Mann - Binadamu wa kwanza kugundua wazo la elimu Albert Einstein aliwahi kuulizwa akili ni nini? What is intellect? Akasema akili ni ...