17 June, 2013

MBUNGE WA ARUMERU MASHARIKI JOSHUA NASSARI APIGWA NA KUJERUHIWA VIBAYA.SOMA ZAIDI HAPA


Habari kutoka kwenye blogu ya Habari Mseto inasema:
Mbunge wa Arumeru Mashariki, Joshua Nassari amepigwa na kujeruhiwa vibaya, damu zinamtoka puani.

Amepigwa na vijana wa Kisomali, katika eneo la Zaburi kata ya Makuyuni Jimbo la Monduli.

Taarifa za awali zinasema baada ya Nassari kuondoka na gari  jingine, waliokuwa wanafuatana naye Kiongozi wa CHADEMA aliyetambulika kwa jina la Teddy Ndossi na dereva wa Nassari walienda kujibanza sehemu. 


Dereva wa Nassari Guardian  Palangyo amepigwa mdomoni amevunjwa meno mawili, na kwa sasa wamempiga Katibu wa CHADEMA wa eneo hilo anayeitwa Kilongola, wapo Kituo cha Polisi Makuyuni kutafuta msaada zaidi.

No comments:

Post a Comment

UKIONDOA DIPLOMA, DEGREE AU PHD ULIYONAYO, KICHWA CHAKO KINABAKI NA NINI?

Horace Mann - Binadamu wa kwanza kugundua wazo la elimu Albert Einstein aliwahi kuulizwa akili ni nini? What is intellect? Akasema akili ni ...