Mchungaji Ambilikile Mwaisapila wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) amesema Mungu ameendelea kujifunua kwake na kumuonyesha kuwa Tanzania itakuwa kioo cha Afrika na baadaye kioo cha dunia.
Ametoa
kauli hiyo jana asubuhi (Jumanne, Septemba 24, 2013) mbele ya Waziri
Mkuu Mizengo Pinda wakati akizungumza na wakazi wa kijiji cha Samunge,
wilayani Ngorongoro mkoani Arusha wakati msafara wa Waziri Mkuu
uliposimama nyumbani kwake ili kumsalimia akiwa njiani kurejea mjini
Arusha.
No comments:
Post a Comment