30 September, 2013

LADY JAYDEE NA MPANGO WA KUINUA VIPAJI VYA WAIMBAJI WAKIKE TANZANIA








"Kuna nafasi na kitu kizuri kinakuja kwa waimbaji wa kike.. Hivyo endelea kutembelea page hii kufahamu zaidi.
Inaweza kuwa ndio nafasi yako kutoka na kuwa moja kati ya wanamuziki maarufu wa kike Tanzania" Judith Wambura a.k.a anakonda ameyasema hayo katika page yake ya facebook ya Lady Jaydee


No comments:

Post a Comment

UKIONDOA DIPLOMA, DEGREE AU PHD ULIYONAYO, KICHWA CHAKO KINABAKI NA NINI?

Horace Mann - Binadamu wa kwanza kugundua wazo la elimu Albert Einstein aliwahi kuulizwa akili ni nini? What is intellect? Akasema akili ni ...