03 October, 2013

ICHEKI TATOO MPYA YA KICHINA ALIYOICHORA WEMA SEPETU


Eti wapenda fashion tattoo hii imempendeza??
Staa wa bongo muigizaji,aliewahi kuwa miss tanzania mwaka 2006, kipenzi cha watu wengi mwana dada Wema Sepetu amechora tattoo mpya hivi karibuni baada ya kwenda kwenye ziara yake nchini china na aunt Ezekiel hivyo akachora tatoo hivyo yakichina ilio gharimu hela nyingi sana kwakuwa inamaana kubwa kwake......

No comments:

Post a Comment

UKIONDOA DIPLOMA, DEGREE AU PHD ULIYONAYO, KICHWA CHAKO KINABAKI NA NINI?

Horace Mann - Binadamu wa kwanza kugundua wazo la elimu Albert Einstein aliwahi kuulizwa akili ni nini? What is intellect? Akasema akili ni ...