Never afraid to try on your own; No matter what, you can keep it real. Trust yourself...
08 October, 2013
MASANJA MKANDAMIZAJI ATOA DARASA KWA WATU AMBAO HAWAJATIMIZA MIAKA 26
Mambo 10 ya kufanya kabla hujatimiza miaka 26.
1. Jifunze kuweka akiba ya fedha na iache bila kuigusa gusa.
2. Tafuta mpenzi sahihi na tulia naye, panga maisha.
3. Ishi mahali pa peke yako, acha kuishi kwenye nyumba au kupanga na washkaji.
4. Lipa madeni yako ya zamani. Yote!
5. Tengeneza mwili ambao unataka halafu jitahidi ku-umantain! Anza kuzingatia kuishi kwa kujali afya yako sana.
6. Jitahidi uwe na marafiki ambao wana changamoto za kimaendeleo zitakazokusaidia.
7. Anza kujinunulia assets kama ardhi na nyinginezo.
8. Jifunze kuvaa vizuri na kwa heshima, si tu ilimradi umependeza.
9. Kubali sasa kwamba umekua na acha tabia na mambo ya kitoto
10. Yaache ya zamani yapite na anza mapya. Mwajuma huna mpango naye, achana naye. Acha kurudi rudi nyuma!
Hayo ndio aliyoyasema Masanja katika ukurasa wake wa facebook
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
UKIONDOA DIPLOMA, DEGREE AU PHD ULIYONAYO, KICHWA CHAKO KINABAKI NA NINI?
Horace Mann - Binadamu wa kwanza kugundua wazo la elimu Albert Einstein aliwahi kuulizwa akili ni nini? What is intellect? Akasema akili ni ...
-
Ee Mungu Mwenyezi uliyekubali Mwanao Yesu Kristu ateswe mpaka kufa msalabani kwa ajili ya dhambi zangu naomba uwe nami. Ee Msal...
-
Dodoma. Bunge Maalumu la Katiba linaanza vikao vyake tena leo mjini Dodoma, huku kukiwa na jitihada kubwa za kujaribu kuweka udh...

No comments:
Post a Comment