07 October, 2013

UMEIONA NYUMBA MPYA YA MHESHIMIWA SUGU?

                                                           Yeye ameipa jina la 'Khaki House'

                                                                         Happy couple
Mh. Joseph Mbilinyi a.k.a baba Sasha huwa hakosi muda wa kuwa pamoja na familia yake

Huyu ndiye mkombozi wa wanyonge; Mbunge wa Mbeya Mjini kupitia chama cha CHADEMA ambapo muda mfupi baada ya kutupia picha ya nyumba yake mpya hiyo zilishuka pongezi nae akatia msumari kwa maneno haya  "...tunapofikia kupigana mjengoni mjue tunamaanisha na tuko serious...vinginevyo tungeweza kutulia na maisha yangeendelea poa kama hivi,lakini si dhamira yetu kukaa kimya na tutaendelea kukomaa..."


No comments:

Post a Comment

UKIONDOA DIPLOMA, DEGREE AU PHD ULIYONAYO, KICHWA CHAKO KINABAKI NA NINI?

Horace Mann - Binadamu wa kwanza kugundua wazo la elimu Albert Einstein aliwahi kuulizwa akili ni nini? What is intellect? Akasema akili ni ...