05 October, 2013

PICHA ZA SIRI CHUMBANI ZA SUPER STAR ROSE NDAUKA ZAVUJA!!



PICHA za chumbani za mwigizaji Rose Ndauka na mchumba wake, Malick Bandawe zimevuja  baada ya rafiki wa karibu wa wapenzi hao kuzisambaza kitaani.

Wapendanao hao walikuwa wakilala katika hoteli moja iliyopo maeneo ya Mbezi Beach, jijini Dar kwa ajili ya kuilea mimba aliyonayo bibie.
“Huwa wanalala kwenye hoteli tangu mimba ilipoanza kuonekana, kusema kweli Malick anamlea Rose kama yai wasiwasi wangu atamlemaza wakati mjamzito anatakiwa afanye mazoezi,” Kilisema chanzo cha habari..
Alipoendewa hewani Malick na kuuulizwa juu ya picha hizo na suala la kuhamisha maskani hotelini hapo kama ni la kudumu au la! Alisema:
“Ni kweli nyumbani tunaenda mara mojamoja kwa sababu nahitaji mchumba wangu asiwe na msongo wowote wa mawazo, anahitaji sehemu ambayo imetulia ili ujauzito nao utulizane, muda mwingi tunautumia hotelini zaidi…



Hiyo ndiyo habari ya mujini…. Ile promo iliyowahusisha wapenzi hawa kuhusu ndoa sijui imeishia wapi…..!
Haya jamani kila la heri wazazi watarajiwa.... karibuni kwenye chama!


PICHA za chumbani za mwigizaji Rose Ndauka na mchumba wake, Malick Bandawe zimevuja  baada ya rafiki wa karibu wa wapenzi hao kuzisambaza kitaani. - See more at: http://williammalecela.blogspot.com/2013/10/the-majangaz-bongo-picha-za-siri.html?spref=fb#sthash.tGHGdl4C.dpuf
PICHA za chumbani za mwigizaji Rose Ndauka na mchumba wake, Malick Bandawe zimevuja  baada ya rafiki wa karibu wa wapenzi hao kuzisambaza kitaani. - See more at: http://williammalecela.blogspot.com/2013/10/the-majangaz-bongo-picha-za-siri.html?spref=fb#sthash.tGHGdl4C.dpuf
PICHA za chumbani za mwigizaji Rose Ndauka na mchumba wake, Malick Bandawe zimevuja  baada ya rafiki wa karibu wa wapenzi hao kuzisambaza kitaani. - See more at: http://williammalecela.blogspot.com/2013/10/the-majangaz-bongo-picha-za-siri.html?spref=fb#sthash.tGHGdl4C.dpuf
PICHA za chumbani za mwigizaji Rose Ndauka na mchumba wake, Malick Bandawe zimevuja  baada ya rafiki wa karibu wa wapenzi hao kuzisambaza kitaani. - See more at: http://williammalecela.blogspot.com/2013/10/the-majangaz-bongo-picha-za-siri.html?spref=fb#sthash.tGHGdl4C.dpuf
PICHA za chumbani za mwigizaji Rose Ndauka na mchumba wake, Malick Bandawe zimevuja  baada ya rafiki wa karibu wa wapenzi hao kuzisambaza kitaani. - See more at: http://williammalecela.blogspot.com/2013/10/the-majangaz-bongo-picha-za-siri.html?spref=fb#sthash.tGHGdl4C.dpuf
PICHA za chumbani za mwigizaji Rose Ndauka na mchumba wake, Malick Bandawe zimevuja  baada ya rafiki wa karibu wa wapenzi hao kuzisambaza kitaani. - See more at: http://williammalecela.blogspot.com/2013/10/the-majangaz-bongo-picha-za-siri.html?spref=fb#sthash.tGHGdl4C.dpuf
PICHA za chumbani za mwigizaji Rose Ndauka na mchumba wake, Malick Bandawe zimevuja  baada ya rafiki wa karibu wa wapenzi hao kuzisambaza kitaani. - See more at: http://williammalecela.blogspot.com/2013/10/the-majangaz-bongo-picha-za-siri.html?spref=fb#sthash.tGHGdl4C.dpuf
PICHA za chumbani za mwigizaji Rose Ndauka na mchumba wake, Malick Bandawe zimevuja  baada ya rafiki wa karibu wa wapenzi hao kuzisambaza kitaani. - See more at: http://williammalecela.blogspot.com/2013/10/the-majangaz-bongo-picha-za-siri.html?spref=fb#sthash.tGHGdl4C.dpuf

No comments:

Post a Comment

UKIONDOA DIPLOMA, DEGREE AU PHD ULIYONAYO, KICHWA CHAKO KINABAKI NA NINI?

Horace Mann - Binadamu wa kwanza kugundua wazo la elimu Albert Einstein aliwahi kuulizwa akili ni nini? What is intellect? Akasema akili ni ...