Never afraid to try on your own; No matter what, you can keep it real. Trust yourself...
27 December, 2013
MTANZANIA AHUKUMIWA KUNYONGWA NCHINI CHINA KWA KUKUTWA NA MADAWA YA KULEVYA
Mwanamke wa kitanzania mwenye umri wa miaka 28 amekamatwa na madawa ya kulevya aina ya Heroin Kiwango cha Kilo 1.1 Macao, China mnamo desemba 19 2013.
Dawa hizo zilikutwa tumboni mwake baada ya kushtukiwa na wana usalama, kisha kufanyiwa Xray ambapo alikutwa na jumla ya vidonge 66 vikiwa na thamani ya dola za kimarekani 137,72
Inasemekana msichana huyu anajulikana kwa jina la Jackie Clief amewahi kushiriki video mbalimbali ikiwemo ile ya She Got a Gwan ya marehemu Mangwea, pia video ya Nataka kulewa ya Diamond.
Hembu tabiri nini kinafuata hapo!
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
UKIONDOA DIPLOMA, DEGREE AU PHD ULIYONAYO, KICHWA CHAKO KINABAKI NA NINI?
Horace Mann - Binadamu wa kwanza kugundua wazo la elimu Albert Einstein aliwahi kuulizwa akili ni nini? What is intellect? Akasema akili ni ...

-
Ee Mungu Mwenyezi uliyekubali Mwanao Yesu Kristu ateswe mpaka kufa msalabani kwa ajili ya dhambi zangu naomba uwe nami. Ee Msal...
-
Baada ya miaka 13 ya kuwapo katika fani ya sanaa ya maigizo, hakuna shaka kwamba, Ste...
No comments:
Post a Comment