Mchekeshaji
na msanii wa filamu nchini, Steve Nyerere amesema hatokuja kutokea rais
wa Tanzania anayewajali wasanii kama Jakaya Kikwete.
"Maisha ya wasanii yamekuwa bora kutokana na juhudi za Kikwete"
“Wasanii
tunaheshimika kutokana na juhudi za rais wetu. Amekuwa ni kama mlezi wa
wasanii sio wa filamu wala muziki. Kwakweli amekuwa mstari wa mbele
katika kutusaidia na kutushauri tufanye nini.
Kwahiyo
mimi ni miongoni mwa wasanii ambao naweza kusema bila Kikwete
nisingefika hapa nilipo. Nina mani raisi anayekuja hawezi kuwa kama
Kikwete kwa jinsi anavyotujali na kutushauri,” alisema Steve.
“Nikisema
nianze kusema mambo aliyoyafanya Kikwete kwa wasanii,mengi
nitayasahau,ukianza na Diamond sijui nani, yaani utamaliza kuwataja
waliosaidiwa.
Naomba nimshukuruu Kikwete pamoja na familia yake.”
Hivyo ndivyo alivyofunguka Steve akimsifia Rais wa Jamhuri ya Tanzania
Never afraid to try on your own; No matter what, you can keep it real. Trust yourself...
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
UKIONDOA DIPLOMA, DEGREE AU PHD ULIYONAYO, KICHWA CHAKO KINABAKI NA NINI?
Horace Mann - Binadamu wa kwanza kugundua wazo la elimu Albert Einstein aliwahi kuulizwa akili ni nini? What is intellect? Akasema akili ni ...

-
Ee Mungu Mwenyezi uliyekubali Mwanao Yesu Kristu ateswe mpaka kufa msalabani kwa ajili ya dhambi zangu naomba uwe nami. Ee Msal...
-
Baada ya miaka 13 ya kuwapo katika fani ya sanaa ya maigizo, hakuna shaka kwamba, Ste...
No comments:
Post a Comment