Siku
kadhaa zilizopita kuliwahi kuripotiwa na kuonesha picha Irene Uwoya
akimtomasa sehemu nyeti Msanii mwenzake wa maigizo Haji Adam na kuzua
mambo mengi hasa katika mitandao ya kijamii, lakini haikuishia hapo
wawili hawa wamekuwa wakionekana pamoja mara kwa mara tena nyakati za
usiku na pozi zao zinaonyesha ishara ya mahaba,
Baba Haji akiwa na Uwoya
Baba Haji akiwa na JoJo The Fighter
No comments:
Post a Comment