Never afraid to try on your own; No matter what, you can keep it real. Trust yourself...
28 April, 2014
BASI LA RATCO LAPATA AJALI MBAYA HUKO KIBAHA PWANI
Ilikuwa ni purukushani wakati ambapo kila abiria akijaribu kujikwamua na kutoka nje ya basi hilo
Basi la kampuni la RATCO linalofanya safari zake Dar-Tanga limepata ajali baada ya ktumbukia mtaroni maeneo ya Kongowe, Kibaha mkoani Pwani jana jioni
Kwa mujibu wa shuhuda aliyeongea kwa njia ya simu anadai kuwa chanzo cha ajali hiyo ni baada ya gari ndogo kuchomoka tairi lake na kisha kwenda kukanyagwa na basi la RATCO na kisha basi hilo kwenda kuanguka na kulalia ubavu wa kushoto kama inavyo onekana katika pivha hapo juu!
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
UKIONDOA DIPLOMA, DEGREE AU PHD ULIYONAYO, KICHWA CHAKO KINABAKI NA NINI?
Horace Mann - Binadamu wa kwanza kugundua wazo la elimu Albert Einstein aliwahi kuulizwa akili ni nini? What is intellect? Akasema akili ni ...
-
Ee Mungu Mwenyezi uliyekubali Mwanao Yesu Kristu ateswe mpaka kufa msalabani kwa ajili ya dhambi zangu naomba uwe nami. Ee Msal...
-
Josephine is passionate, dedicated, reliable, responsible, and hardworking. Team worker and able to face all challenging situations. Can ...
No comments:
Post a Comment