27 April, 2014

HATARRRIIIII!! NISSAN WATENGENEZA GARI LINALOJIOSHA LENYEWE


Nissan wanafanya yao,  licha ya kuwa ni gari kali, lakini pia  gari linalojiosha lenyewe! Kwakifupi ni kwamba hilo halishiki uchafu wa aina yoyote, na hata hiki kipande cha video kilichotolewa na Nissan (video ipo chini) kinathibitisha hili.
Nissan wameanzisha rangi isiyoruhusu vumbi, matope, uchafu wala maji kubaki kweye body ya gari na kuiacha gari ikiwa ina ng'ara bila ya kuiosha wala kuifuta!!
 Kwa mujibu wa Nissan rangi hiyo inazuia maji na mafuta pia, na ubunifu huo ulifanikiwa kwa "kutengeneza tabaka la kinga ya hewa kati ya rangi na mazingira".


Rangi hiyo inaitwa Ultra-Ever Dry na imetengenezwa na UltraTech International Inc.







Gari hili la majaribio linaonyesha upande wa kulia uliopakwa rangi hiyo na upande wa kushoto wenye rangi ya kawaida.






No comments:

Post a Comment

UKIONDOA DIPLOMA, DEGREE AU PHD ULIYONAYO, KICHWA CHAKO KINABAKI NA NINI?

Horace Mann - Binadamu wa kwanza kugundua wazo la elimu Albert Einstein aliwahi kuulizwa akili ni nini? What is intellect? Akasema akili ni ...