27 April, 2014

MIPASHO YA WANA FACEBOOK DHIDI YA TUME YA WARIOBA!!

Katiba mpya ndio habari ya mjini kwa sasa... Hivyo macho na masikio ya Watanzania yapo bungeni kufuatilia muenendo mzima wa uundwaji wa katiba mpya.... Katika pita pita zangu nikaona post kupitia kwa Ben Wa Saa Nane. Nimeichukua kama ilivyo pamoja na comment ili na wewe msomaji wa blog ya JoJo The Fighter upate uhondo huu!!....
 
Ben Wa Saanane was tagged in Said Mithun's photo.
1 hr ·
,,,,kati ya makosa makubwa kufanywa n kuvunja tume ya Warioba mara tua walipomaliza kuwasilisha ripot yao Bungen,,,,,wajumbe wa ile tume walitakiwa kuwa wajumbe ili watolee ufanunuz wa hoja za wajumbe kitu ambacho kimekosekana had bunge lilipositisha shughuli zake,,,,,wajumbe especially wa chama tawala wametumia mwanya huo kudanganya umma kama kudai gharama zitakuwa kubwa na wengne kufika mbali zaid na kusema jesh linaweza chukua nchi kitu ambacho c kwl n hii inatokana kutokuwepo na watu wa kuwajibu,,,,,kuvunja tume n uhun xawa na kuvunja mahakama mara baada ya kutoa hukumu which means mshtakiwa hatakuwa na pakukataa rufaa koz hakuna wa kumsikiliza!!!!,,,,mbona kamat ya kutunga sheria haijavunjwa kitu ambacho kiliwasaidia wajumbe kupata ufanuz wa vpengele mbalmbal vilivyokuwa vimependekezwa at the end wakapata sheria na kanuni nzur japo zilikiukwa makusud kwa kumruhusu Warioba awasilishe thn Rais azindue huku utaratibu n kuzinduliwa thn ndo rasimu iwasilishwe,,,,,kaz nzur iliyofanywa na tume haionekan koz walioifanya hawapo bungen kuwafafanulia n kwa nn imekuwa iv na c vile,,,,,,Mungu ibariki Zanzibar,,,Mungu ibariki Tanganyika na Mungu ibariki xana Jamhur ya Muungano wa Tanzania

  • Lucas Mkina Cha msingi hapo ni kuvunja mkataba hakuna umuhimu wa kuwa na MUUNGANO wakati hakuna USAWA unaopatikana kati ya hizi nchi mbili TANGANYIKA na ZANZIBAR
    kama ni hivyo basi tuweke serikali TATU
    53 mins · Like · 1
  • Said Mithun ndo xabab nikasema yalikuwa makosa makubwa xana kuivunja ile tume mana waliposema serkal tatu walikuwa na ufafanuz mzr tu kama unawasikilizaga kwnye vyombo vya habr,,,,hicho kina mic pale bungen mana hakuna wakujibu hoja,,@lukas Lucas Mkina
    49 mins · Like · 1
  • Lucas Mkina Labda ww unaweza ukawa karibu na hao viongozi wa nchi akiwemo Mh, Raisi Mpe taarifa kuwa MZEE WARIOBA tunamhitaji sana kwenye mchakato wa katiba huo mwezi wa nane ambapo wajumbe watakapokutana pale mjengoni
    45 mins · Like · 1
  • Khamis Juma Nadhani wengi tumeshindwa kupima upepo, hata sasa ile sheria inaelekeza hivyo kua mjumbe yeyote wa tume ile ya Mh. Warioba iwe mwenyekiti au mwengine inategemea tu mwenyekiti ataona nani aende inawaelekeza kua wanaweza kuitwa wakati woowte kutoa ufafanuzi wa jambo lolote lile kama wakiona kuna haja hio. Kitu ambacho wengi tumeshindwa kufahamu ni kua sio kwaba Bunge halijui jambo hilo kua wanweza kuwaita kisheria wakati wowte ila hawajawaita na wala hawataawaita maana kufanya hivyo wanjua kua itaharibu mpango wao, maana MAJIBU YA MASWALI YAO YOTE TUME WANAYO NA WANAYAOGOPA . hivyo haitatokea kuitwa pale mjumbe yeyote kutoa ufafanuzi au kujibu hoja zozote. wanajua wanachokifanya strategically.
    38 mins · Like · 1
  • Said Mithun xaxa hapo ndipo wanapowakosea haki watanzania mana wanashindwa kujua upi n ukwl na upi sio mana unamsikia mjumbe anasema ripoti ya tume n uongo mtupu c maon ya wananch,,,,xaxa bila ufafanuz kutoka kwa tume wanaweza wakaamin kuwa ripoti n ya uongo,,,,my point iz kwamba wale wajumbe wangekuwa wajumbe direkt na c huu utaratibu wa kusema wataitwa kitu ambacho tunajua n ndoto koz had aitwe automatikally lazma walio weng ambao n ccm waridhie ufafanuz uje kutolewa na ukumbuke hao ndo wapingaj wakuu wa ile ripoti,,,@khamis juma

No comments:

Post a Comment

UKIONDOA DIPLOMA, DEGREE AU PHD ULIYONAYO, KICHWA CHAKO KINABAKI NA NINI?

Horace Mann - Binadamu wa kwanza kugundua wazo la elimu Albert Einstein aliwahi kuulizwa akili ni nini? What is intellect? Akasema akili ni ...