Tarehe
26/04/2014 taifa la jamuhuri ya muungano wa Tanzania imeadhimisha jumla
ya miaka 50 tangia kuungana kwake mwaka 1964, basi hivi ndivyo mambo
yote yalivyokuwa katika tukio hilo la kihistoria.
wakiwapigia makofi makomandoo wa JWTZ walioonsha ukakamavu wa hali ya juu |
sehemu ya umati wa watu waliohudhuria uwanjani hapo wakiimbna wimbo wa TAIFA |
moja ya burudani iliyowakonga nyoyo watazamajio uwanjani hapo ni maaskari walioshuka kutoka kwenye ndege kwa kutumia parachuti kama anavyoonekana pichani hapo juu |
makomandoo waliokonga nyoyo za wakazi wengi waliojitokeza kiwanjani hapo |
sweepers wakitoa heshima kwa bendera ya TAIFA |
PICHA YA KIFARU |
No comments:
Post a Comment