27 April, 2014

TUKIO ZIMA KATIKA MAADHIMISHO YA MIAKA 50 YA MUUNGANO LIKO HAPA KATIKA PICHA.

Tarehe 26/04/2014 taifa la jamuhuri ya muungano wa Tanzania imeadhimisha jumla ya miaka 50 tangia kuungana kwake mwaka 1964, basi hivi ndivyo mambo yote yalivyokuwa katika tukio hilo la kihistoria.


RAISI KIKWETE  na amiri jeshi mkuu  wa nchi pamoja na viongozi wengine waiangalia kwa makini mambo mbalimbali yanayoendelea uwanjani haopo yanayooneshwa na vikosi vya jeshi la wananchi Tanzania na vikosi vingine
wakiwapigia makofi makomandoo wa JWTZ walioonsha ukakamavu wa hali ya juu
sehemu ya umati wa watu waliohudhuria uwanjani hapo wakiimbna wimbo wa TAIFA
moja ya burudani iliyowakonga nyoyo watazamajio uwanjani hapo ni maaskari walioshuka kutoka kwenye ndege kwa kutumia parachuti kama anavyoonekana pichani hapo juu

makomandoo waliokonga nyoyo za wakazi wengi waliojitokeza kiwanjani hapo
sweepers wakitoa heshima kwa bendera ya TAIFA
PICHA YA KIFARU

No comments:

Post a Comment

UKIONDOA DIPLOMA, DEGREE AU PHD ULIYONAYO, KICHWA CHAKO KINABAKI NA NINI?

Horace Mann - Binadamu wa kwanza kugundua wazo la elimu Albert Einstein aliwahi kuulizwa akili ni nini? What is intellect? Akasema akili ni ...