Kocha wa zamani wa Barcelona Titto
Vilanova aliyestaafu baada ya kusumbuliwa na maradhi ya kansa kwa muda
mrefu leo hii amefariki dunia akiwa na miaka 45,
Ni majonzi makubwa kwa klabu yake ya Barcelona aliyoichezea na baadae kuja kuwa meneja wa kalabu hiyo baada ya kuondoka kwa Pep Guardiola.Alishikilia nafasi ya ukocha katika klabu hiyo huku akiwa anasumbuliwa na maradhi ya mara kwa mara.
Baadae aliamua kustaafu kutokana na maradhi ya kansa yaliyokuwa yanamsumbua.
Ni majonzi makubwa kwa klabu yake ya Barcelona aliyoichezea na baadae kuja kuwa meneja wa kalabu hiyo baada ya kuondoka kwa Pep Guardiola.Alishikilia nafasi ya ukocha katika klabu hiyo huku akiwa anasumbuliwa na maradhi ya mara kwa mara.
Baadae aliamua kustaafu kutokana na maradhi ya kansa yaliyokuwa yanamsumbua.
No comments:
Post a Comment