Ni majonzi makubwa kwa klabu yake ya Barcelona aliyoichezea na baadae kuja kuwa meneja wa kalabu hiyo baada ya kuondoka kwa Pep Guardiola.Alishikilia nafasi ya ukocha katika klabu hiyo huku akiwa anasumbuliwa na maradhi ya mara kwa mara.
Baadae aliamua kustaafu kutokana na maradhi ya kansa yaliyokuwa yanamsumbua.
No comments:
Post a Comment