VICHAA
walikuwa wanasafirishwa kutoka Iringa kwenda Milembe Hospital Dodoma.
Kufika Mikumi kundi la Simba likaonekana barabarani. Dokta akawaambia . .
. . .
DOKTA:- Mnawaona Simba hao??!
VICHAA:- Anhaaaa!! Kumbe hawa ndio Simba?!!
DOKTA:- Eeeh!! Hawa ndio Simba wenyewe!
VICHAA:- Sasa pale Kaseja ndo yupi??!!
DOKTA:- Mnawaona Simba hao??!
VICHAA:- Anhaaaa!! Kumbe hawa ndio Simba?!!
DOKTA:- Eeeh!! Hawa ndio Simba wenyewe!
VICHAA:- Sasa pale Kaseja ndo yupi??!!
No comments:
Post a Comment