Never afraid to try on your own; No matter what, you can keep it real. Trust yourself...
08 May, 2014
LINAH SANGA "JAMANI NAFUNGA NDOA SOON NA MCHUCHU WANGU"
Baada ya Linah Sanga Siku hizi Kuonekana Kila kona Akiwa na Kijana
Anayejulikana kwa jina la Nagari Kombo Amehabarisha na Kusema huyo ni
mchumba yake kabisa na Nyumbani wameshajitambulisha kila kitu kiko sawa
na Wanasubiria Ndoa tu Ambayo itakuwa hivi karibuni....Mara ya mwisho
walionekana pamoja siku ya Tuzo za Kill Pale Mlimani City ...Mchumba
wake Ni yule Kijana Aliyepata umaarufu Baada ya kuingia Uwanjani siku ya
Taifa Stars na Brazil na kwenda Kumkubatia Ricardo Kaka huku Mpira
Ukiendelea.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
UKIONDOA DIPLOMA, DEGREE AU PHD ULIYONAYO, KICHWA CHAKO KINABAKI NA NINI?
Horace Mann - Binadamu wa kwanza kugundua wazo la elimu Albert Einstein aliwahi kuulizwa akili ni nini? What is intellect? Akasema akili ni ...
-
Ee Mungu Mwenyezi uliyekubali Mwanao Yesu Kristu ateswe mpaka kufa msalabani kwa ajili ya dhambi zangu naomba uwe nami. Ee Msal...
-
Josephine is passionate, dedicated, reliable, responsible, and hardworking. Team worker and able to face all challenging situations. Can ...
No comments:
Post a Comment