20 May, 2014

MICHEPUKO NOMA: KIM KARDASHIAN ABAMBWA LIVE USIKU AKIWA NA JAMAA

Mwana mama Kim Kardsshian ambaye ni mpenzi wa Kanye West, ikiwazimebaki siku chache tu wawili hao wafunge ndoa....usiku wa juzi mwana mama huyo ameonekana mitaa ya HOLYHOOD akiwa na jamaa katika mapozi ya UTATA...vyombo vya udaku nchini Marekani vinasema labda ni mambo ya MICHEPUKO....bado haijafaamika jamaa huyo ni nani hasa na Kanye West bado ajasema chochote kuhusi hili.....jionee mwenyewe picha hizo...

No comments:

Post a Comment

UKIONDOA DIPLOMA, DEGREE AU PHD ULIYONAYO, KICHWA CHAKO KINABAKI NA NINI?

Horace Mann - Binadamu wa kwanza kugundua wazo la elimu Albert Einstein aliwahi kuulizwa akili ni nini? What is intellect? Akasema akili ni ...