Mwana mama Kim Kardsshian ambaye ni mpenzi wa Kanye West, ikiwazimebaki
siku chache tu wawili hao wafunge ndoa....usiku wa juzi mwana mama huyo
ameonekana mitaa ya HOLYHOOD akiwa na jamaa katika mapozi ya
UTATA...vyombo vya udaku nchini Marekani vinasema labda ni mambo ya
MICHEPUKO....bado haijafaamika jamaa huyo ni nani hasa na Kanye West
bado ajasema chochote kuhusi hili.....jionee mwenyewe picha hizo...
Never afraid to try on your own; No matter what, you can keep it real. Trust yourself...
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
UKIONDOA DIPLOMA, DEGREE AU PHD ULIYONAYO, KICHWA CHAKO KINABAKI NA NINI?
Horace Mann - Binadamu wa kwanza kugundua wazo la elimu Albert Einstein aliwahi kuulizwa akili ni nini? What is intellect? Akasema akili ni ...
-
Ee Mungu Mwenyezi uliyekubali Mwanao Yesu Kristu ateswe mpaka kufa msalabani kwa ajili ya dhambi zangu naomba uwe nami. Ee Msal...
-
Josephine is passionate, dedicated, reliable, responsible, and hardworking. Team worker and able to face all challenging situations. Can ...
No comments:
Post a Comment