Mwili wa Sista baada ya kupigwa risasi.
SISTA wa Parokia ya Makoka iliyopo Kibangu,
Dar ameuawa na majambazi yaliyokuwa kwenye bodoboda wakati akiingia
kwenye gari akitokea dukani eneo la River Side, Ubungo jijini Dar es
Salaam hivi punde.
Kabla ya kuuawa sista huyo, dereva wake alipigwa risasi mkononi na majambazi hayoSOURCE: GPL
No comments:
Post a Comment