ASKARI wa usalama barabarani,
aliyejulikana kwa jina moja la Riziki, WP 2806 CPL Riziki, aliyegongwa
na daladala aina ya DCM wakati akiwa katika harakati za kutimiza
majukumu ya kazi eneo la Mbagala Rangi Tatu jijini Dar es Salaam jana
asubuhi amefariki dunia leo.
Mpaka mauti yanamfika, marehemu alikiuwa akitibiwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbi.
Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema. Pole kwa ndugu, jamaa na marafiki. Pole pia kwa Taifa kwa kupoteza nguvu kazi.
Never afraid to try on your own; No matter what, you can keep it real. Trust yourself...
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
UKIONDOA DIPLOMA, DEGREE AU PHD ULIYONAYO, KICHWA CHAKO KINABAKI NA NINI?
Horace Mann - Binadamu wa kwanza kugundua wazo la elimu Albert Einstein aliwahi kuulizwa akili ni nini? What is intellect? Akasema akili ni ...
-
Ee Mungu Mwenyezi uliyekubali Mwanao Yesu Kristu ateswe mpaka kufa msalabani kwa ajili ya dhambi zangu naomba uwe nami. Ee Msal...
-
Dodoma. Bunge Maalumu la Katiba linaanza vikao vyake tena leo mjini Dodoma, huku kukiwa na jitihada kubwa za kujaribu kuweka udh...
.jpg)
No comments:
Post a Comment