Kutokana na kuwepo watumiaji wa smartphones takribani 80% ya watu
duniani hutumia smartphone kwa sasa. Jiji moja la huko nchini China
lijulikanayo kama Chongqing wameamua kutenga sehemu maalumu kwa
watumiaji wa Smartphones ambao watakuwa wakitembea huku wanatumia
smartphones zao.
Hata hivyo jiji hilo limefanya hivyo kutokana nakuona watu wengi hasa
wakazi waishio jiji hilo kuwa watumiaji sana "Addicted" na smartphone na
kuona ni bora watengewe sehemu yao maalumu hii pia itasaidia kuepusha
ajali za hapa na pale kwani watumiaji hao watakuwa wakitumia smartphones
zao wawapo barabarani katika sehemu yao maalumu walitengewa.
AndroidAuthority

No comments:
Post a Comment