Katika hali iliyoshangaza wengi, Wema Sepetu amesema watu wengi wanaomsema kwenye mtandao they
don't have life na wengi wao wanatumia Tecno na Huawei kulog in kwenye
mitandao ya kijamii na kuanza kumponda, akichezesha taya na Ephraim
Kibonde katika kipindi cha jahazi amesema watu hao hawampi shida hata
kidogo kwani wamepigika na yupo juu zaidi yao.
Never afraid to try on your own; No matter what, you can keep it real. Trust yourself...
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
UKIONDOA DIPLOMA, DEGREE AU PHD ULIYONAYO, KICHWA CHAKO KINABAKI NA NINI?
Horace Mann - Binadamu wa kwanza kugundua wazo la elimu Albert Einstein aliwahi kuulizwa akili ni nini? What is intellect? Akasema akili ni ...
-
Ee Mungu Mwenyezi uliyekubali Mwanao Yesu Kristu ateswe mpaka kufa msalabani kwa ajili ya dhambi zangu naomba uwe nami. Ee Msal...
-
Josephine is passionate, dedicated, reliable, responsible, and hardworking. Team worker and able to face all challenging situations. Can ...
No comments:
Post a Comment