25 October, 2014

NEY NDO CHANZO CHA DIAMOND KUHAIRISHA KUMUOA WEMA?

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhvQcCbgupN7EskDWb_BO4BwNXIRyJyU_gr-ouCqr-j5J6bfb2Hecl652u4Ri6H1LmRo9WDlhtpkgH2nelFMsBDwcIUb8ZJYr_hcFWLgU8CCL8WXoRzQD_1tEhOzzRtY7fiLuiNKoGd0301/s1600/4X7A9552.JPGIMEVUJA kwamba Staa wa Bongo Fleva, Emmanuel

Elibariki ‘Nay wa Mitego’ ndiye aliyemshauri Nasibu Abdul ‘Diamond’
asioe kwa sasa ili asishuke kimuziki. 
Staa wa Bongo Fleva, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’

Ushauri huo umekuwa mwiba kwa mpenzi wa Diamond, Wema Sepetu ambaye

amekuwa na ndoto ya kuolewa na staa huyo anayekimbiza kitaani na wimbo
wake wa Mdogomdogo.
Wema Sepetu akiwa na mpenzi wake ‘Diamond Platinum’.

Akifafanua zaidi kuhusiana na ushauri huo, Nay alisema: “Kuna mifano

mingi sana nimeiona kutoka kwa wasanii ambao wameoa, wengi wao
wameshasanda sasa mdogo wangu (Diamond) na yeye alipoleta hoja ya kutaka
kuoa nikaona sasa anatafuta shimo la kwenda kujifukia, nikamshauri
aache.”

No comments:

Post a Comment

UKIONDOA DIPLOMA, DEGREE AU PHD ULIYONAYO, KICHWA CHAKO KINABAKI NA NINI?

Horace Mann - Binadamu wa kwanza kugundua wazo la elimu Albert Einstein aliwahi kuulizwa akili ni nini? What is intellect? Akasema akili ni ...