Taarifa zilizotufikia BantuTz.com hivi punde ni kuwa P SQUARE PETER
and PAUL wamefiwa na baba yao mzazi MR
OKOYE ambae siku chache kabla ya mauti
kumfikia alifanyiwa operation ya goti na
kuonekana kuwa anaendelea vizuri
Lakini vyanzo vya habari vinasema siku ya jana
alidondoka akiwa anaelekea hospitali mjini
Lagos na kupoteza maisha.
RIP MR OKOYE
Endelea kutembeleaJOJOTHEFIGHTER.BLOGSPOT.COM tutakujuza kila kitakachokuwa kinatufikia.
Never afraid to try on your own; No matter what, you can keep it real. Trust yourself...
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
UKIONDOA DIPLOMA, DEGREE AU PHD ULIYONAYO, KICHWA CHAKO KINABAKI NA NINI?
Horace Mann - Binadamu wa kwanza kugundua wazo la elimu Albert Einstein aliwahi kuulizwa akili ni nini? What is intellect? Akasema akili ni ...
-
Ee Mungu Mwenyezi uliyekubali Mwanao Yesu Kristu ateswe mpaka kufa msalabani kwa ajili ya dhambi zangu naomba uwe nami. Ee Msal...
-
Dodoma. Bunge Maalumu la Katiba linaanza vikao vyake tena leo mjini Dodoma, huku kukiwa na jitihada kubwa za kujaribu kuweka udh...
No comments:
Post a Comment