26 November, 2014

BABA MZAZI WA WASANII WA KUNDI LA P-SQUARE AFARIKI DUNIA.

Taarifa zilizotufikia BantuTz.com hivi punde ni kuwa P SQUARE PETER
and PAUL wamefiwa na baba yao mzazi MR
OKOYE ambae siku chache kabla ya mauti
kumfikia alifanyiwa operation ya goti na
kuonekana kuwa anaendelea vizuri
Lakini vyanzo vya habari vinasema siku ya jana
alidondoka akiwa anaelekea hospitali mjini
Lagos na kupoteza maisha.
RIP MR OKOYE
Endelea kutembeleaJOJOTHEFIGHTER.BLOGSPOT.COM tutakujuza kila kitakachokuwa kinatufikia.

No comments:

Post a Comment

UKIONDOA DIPLOMA, DEGREE AU PHD ULIYONAYO, KICHWA CHAKO KINABAKI NA NINI?

Horace Mann - Binadamu wa kwanza kugundua wazo la elimu Albert Einstein aliwahi kuulizwa akili ni nini? What is intellect? Akasema akili ni ...