26 November, 2014

SOMA TETESI NZITO ZA LEO ZINAZOHUSU NAIBU SPIKA MHE NDUGAI KUPELEKWA UFARASA ILI AZIONGOZE VIKAO VYA BUNGE

HIZI  NI  TETESI  TU  KUTOKA  KWENYE  MITANDAO YA  KIJAMII  KUHUSIANA  NA  SAKATA  LA  NAIBU  SPIKA  KWENDA  UFARANSA  ILI  AZIONGOZE  VIKAO  VYA  BUNGE
MHE  NDUGAI 


JANA NA JUZI CCM WALIFANYA KIKAO CHA SIRI USIKU WA MANANE MJINI DODOMA KUHUSU SAKATA LA ESCOW, MAMBO YAFUATAYO YALIAMULIWA YAFANYWE :1 NAIBU SPIKA NDUGAI ASIONGOZE VIKAO VYA BUNGE KWA SIKU 14 IKUMBKWE NDUGAI ANAENDSHA BUNGE KIUKAMILIFU NA ANAIBANA SERIKAL, 2: MAKINDA AONGOZE BUNGE KIBABE BILA KUFUATA KANUNI 3:NAIBU SPIKA NDUGAI APELEKWE UFARANSA ASIONEKANE TZ HADI BUNGE HILI LIMALZIKE NA TAYARI NDUGAI KAANZA LIKIZO LEO KWENDA PARIS 5: KUMBANA REGNALD MENGI KWA KUWA VYOMBO VYAKE VYA HABARI VINATOA TAARIFA ZA UKWEL KWA WATZ WOTE KUHUSU UFISAD WA CCM *
Majumuisho ya vikao vya Baraza la Mawaziri na vikao vya CCM Dodoma juu ya Escrow
Yericko Nyerere 11:15 Today

Baada ya kujihakikishia kuwa ripoti wameinyofoa kurasa zenye majina na ushahidi wa wizi wote,
Wamekuja na maazimio mawili makubwa,
1. PAC iwekewe kanuni (kibabe) kuwa itoe pendekezo kwa Spika la nini cha kufanya.
Baada ya hapo Spika atalitangazia bunge kuwa amepokea mapendekezo na ushauri wa PAC hivyo anaiarifu serikali hatua za kushughulikia tatizo hili,
Hili limeamuliwa spika atumie ubabe bila kuangalia kanuni wala busara.
2. Kwakauli moja vikao vya ccm vimeridhia Mh Ndugai afukuzwe Bungeni kwa siku 14 mpaka mgogoro huu uishe,
Katika kutimiza azimio hilo, nikuwa amepangiwa kwenda ufaransa kwa mapuziko ya siku 14,
Safari yake itakuwa leo jioni,
Nitawaambia shirika la ndege analosafiri nalo na tiketi namba yake soon!
UPDATES: 24/11/2014
Mh Ndugai kaondoka jana saa nne usiku na shirika la ndege la Uswis kuelekea Paris kwa mapumziko, Tiketi namba yake ni A23 Daraja la kwanza,
Mornie Tz nation

No comments:

Post a Comment

UKIONDOA DIPLOMA, DEGREE AU PHD ULIYONAYO, KICHWA CHAKO KINABAKI NA NINI?

Horace Mann - Binadamu wa kwanza kugundua wazo la elimu Albert Einstein aliwahi kuulizwa akili ni nini? What is intellect? Akasema akili ni ...