09 December, 2014

JAMAA AMILIKI WAKE 38 NA WATOTO 94

  • Hii habari iliandikwa na dail mail tangu mwaka 2011ila si vibaya tukajikumbusha leo...! 


1 (1)
Vyumba vya kulala wake zake
0
akiwa kwenye picha ya kwa pamoja na wake zake
Ziona-Chana-married-29-women
akiwa kwenye picha ya pamoja na watoto wake
00 (1) 00

Jamaa mmoja raia wa India anayejulikana kwa jina Ziona Chana mwenye umri wa miaka 38 (mwaka 2011) mwaka huu atakuwa na miaka 41 mwenye wake 39 pamoja na watoto 94, Wakwe 14 na wajukuu 33 mpaka mwaka huu 2014 huenda watoto, wake, wakwe na wajukuu wakawa wameongezeka!! Ambapo familia yote inaishi katika nyumba moja yenye vyumba 100.

No comments:

Post a Comment

UKIONDOA DIPLOMA, DEGREE AU PHD ULIYONAYO, KICHWA CHAKO KINABAKI NA NINI?

Horace Mann - Binadamu wa kwanza kugundua wazo la elimu Albert Einstein aliwahi kuulizwa akili ni nini? What is intellect? Akasema akili ni ...