10 December, 2014

ZALI THE BOSS AMCHANA WEMA NA TIMU YAKE MAKAVU


Hiki ndicho Zari alichomwambia Wema
Zari Ameibuka na kumwambia Wema
Sepetu kuwa Diamond Sio Mume wa mtu
na wala sio mchumba wa mtu kwa sasa
hivyo kitendo cha yeye kutoka out naye
ni sawa kwani ni maamuzi ya Diamond
Mwenyewe kwa vile kwa sasa yupo huru
kabisa..Hivyo Wema Sepetu na Team yake
wakae Kimya Waangalie tu jinsi Project
inavyokwenda kwani muda wake wa
kujivinjari na Diamond ulishapita....

No comments:

Post a Comment

UKIONDOA DIPLOMA, DEGREE AU PHD ULIYONAYO, KICHWA CHAKO KINABAKI NA NINI?

Horace Mann - Binadamu wa kwanza kugundua wazo la elimu Albert Einstein aliwahi kuulizwa akili ni nini? What is intellect? Akasema akili ni ...