Huyu ndiye Khalid Kagenzi mlinzi na msaidizi wa Dr.Willibroad slaa aliyekuwa anatumiwa na usalama wa taifa pamoja na makamu mwenyekiti wa ccm philip mangula kuvujisha siri za vikao vya juu vya chadema pia kula njama ya kumuuwa Dr.Slaa kwa sumu ndani ya wiki hii.
Kwa maana hiyo wiki hii chadema na wananchi wa Tanzania kiujumla tungekuwa na msiba mkubwa wa kufiwa na kiongozi mkubwa Dr.Slaa.
Mlinzi huyu ni mlinzi wa karibu wa Dr.slaa alianza kuchunguzwa na makachero wa chadema #CIS pindi aliponaswa akipanda gari la usalama wa taifa TISS.
Ndipo makachelo wa chadema CIS yani maana yake ni CHADEMA INTELLIGENCE
AND SECURITY walipoanza kufanya uchunguzi wa mawasiliano ya mlinzi huyo
katika simu zake na ndipo wakakuta ana mawasiliano ya karibu na makamu
mwenyekiti wa CCM Philip Mangula pamoja na maafisa usalama wa taifa TISS
22.
Wakati akiendelea kuhojiwa mlinzi huyo alitoa sim card zake kwenye simu laini ya Airtel na Tigo na kuzimeza ili wanaomhoji wasijue mipango mingi anayofanya kati ya baadhi ya viongozi wa serikali, CCM pamoja na usalama wa taifa.
mlinzi huyo amekubari kwa kinywa chake na maandishi kuwa ni kweli anafanya mawasiliano na watu hao pia amekiri kuwa ni kweli ndani ya wiki hii walipanga kumuuwa Dr.Slaa.
Dr.Slaa atakufa kwa mapenzi ya MUNGU na sio kwa mapenzi ya TISS na CCM kuna watu na viongozi wa dini wanaofunga na kuomba kwa ajili ya CHADEMA na taifa kiujumla.
MUNGU mlinde Dr.Slaa, MUNGU lilinde Taifa la Tanzania.
Wakati akiendelea kuhojiwa mlinzi huyo alitoa sim card zake kwenye simu laini ya Airtel na Tigo na kuzimeza ili wanaomhoji wasijue mipango mingi anayofanya kati ya baadhi ya viongozi wa serikali, CCM pamoja na usalama wa taifa.
mlinzi huyo amekubari kwa kinywa chake na maandishi kuwa ni kweli anafanya mawasiliano na watu hao pia amekiri kuwa ni kweli ndani ya wiki hii walipanga kumuuwa Dr.Slaa.
Dr.Slaa atakufa kwa mapenzi ya MUNGU na sio kwa mapenzi ya TISS na CCM kuna watu na viongozi wa dini wanaofunga na kuomba kwa ajili ya CHADEMA na taifa kiujumla.
MUNGU mlinde Dr.Slaa, MUNGU lilinde Taifa la Tanzania.
No comments:
Post a Comment