Watoto wapatao 17 wamepatikana wakiwa wamefichwa mkoani Kilimanjaro eneo la Pasua mjini Moshi
wakiwa wanapatiwa mafunzo ya siri ya maadili ya kiislamu kwa zaidi ya
mwaka huko wazazi wao wakiwa hawafahamu wako wapi.
Kwa mujibu wa ITV watoto hao wengine waliletwa na wazazi ambao
hawakuwaeleza ukweli wazazi wenza wenzao na wengine walikuwa
wametoroshwa bila habari zao kufahamika.
Kisichofahamika mpaka sasa ni kwa nini mafunzo hayo yawe yawe ya siri?
Jee hii inatofauti gani na yale ya Nijeria ya kuteka watoto inayofanywa
na Boko Haramu?
Never afraid to try on your own; No matter what, you can keep it real. Trust yourself...
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
UKIONDOA DIPLOMA, DEGREE AU PHD ULIYONAYO, KICHWA CHAKO KINABAKI NA NINI?
Horace Mann - Binadamu wa kwanza kugundua wazo la elimu Albert Einstein aliwahi kuulizwa akili ni nini? What is intellect? Akasema akili ni ...
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhpTo4YV7Oox_BVlRsooBaHFJreydnAhg3m50m_mGMwYjIKhkSy2I-0rErStBFcxsPYwCkQJaczXQLKQ5zGlZEaQxNsuuOisHrgroUOvPckYInirjwF1zOXw-MD_2z7d8bzIW6Fl7mX0u8QtMRuafCU_STytqBGuUCEe7iB3QkG0IT9PgpCHyXDLNm_rC5T/s320/Horace-Mann.webp)
-
Ee Mungu Mwenyezi uliyekubali Mwanao Yesu Kristu ateswe mpaka kufa msalabani kwa ajili ya dhambi zangu naomba uwe nami. Ee Msal...
-
Josephine is passionate, dedicated, reliable, responsible, and hardworking. Team worker and able to face all challenging situations. Can ...
No comments:
Post a Comment