Staa mrembo wa Bongo Movies Shamsa Ford ambae siku za hivi karibuni
alikanusha waziwazi alipokuwa akihojiwa na vy mbo mablimbali vya habari
juu ya kuwa na mahusiano ya kimapenzi wa Staa Nay wa Mitego hatimaye
jana kupitia ukurasa wake mtandaoni alibandikaa picha yake pamoja na ya
Nay ankuandika maneno ya kimahada yaliyosomeka “Miss u so much my endlesslove.”
Kitendo ambacho kinathibitisha kuwa wawili hawa wapo kwenye penzi moto moto
Siku za hivi baribuni zilisambaa picha za wawili hawo wakiwa wanadendeka wadaku wakahisi wa wili hawo wanatoka lakini Shamsa alijitokeza na kusema kuwa hao wapo kwenye project ambayo itatoka hivi karibuni na kusisitiza Nay ni binamu yake
Kitendo ambacho kinathibitisha kuwa wawili hawa wapo kwenye penzi moto moto
Siku za hivi baribuni zilisambaa picha za wawili hawo wakiwa wanadendeka wadaku wakahisi wa wili hawo wanatoka lakini Shamsa alijitokeza na kusema kuwa hao wapo kwenye project ambayo itatoka hivi karibuni na kusisitiza Nay ni binamu yake
No comments:
Post a Comment