05 August, 2015

WALICHOKISEMA WADAU WA FACEBOOK BAADA YA SHILOLE KUFUNGIWA NA BASATA

Baada kufungiwa kujishughulisha na shughuli za sanaa kwa kipindi cha mwaka mmoja, mwanadada Shilole ameibuka na kuongea haya; “Mnataka nikaishi wapi nina familia ya watu 10 ndani, nina watoto 2 wanaosoma boarding kila mwaka ninatakiwa nilipe mil 5 kila mmoja, nina watoto 3 yatima ninaowalea wanasoma vilevile, kupitia muziki huu huu ninaofanya ambao watu wengine mnaudharau lakini ndio unaonifanya nifike hapa, ninalipa kodi ya nyumba Mil 7 kwa mwaka, ninalipa kodi ya maendeleo ya nchi yangu na bado nina watu ninaowasaidia”Ungependa BASATA impunguzie adhabu au wamfutie??

YAFUATAYO NI MAONI YA WADAU WANGU WA FACEBOOK:



Join me on Instagram! - I'm on Instagram as @jojothefighter. Install the app to follow my photos and videos. http://instagram.com/download/?r=381300177








No comments:

Post a Comment

UKIONDOA DIPLOMA, DEGREE AU PHD ULIYONAYO, KICHWA CHAKO KINABAKI NA NINI?

Horace Mann - Binadamu wa kwanza kugundua wazo la elimu Albert Einstein aliwahi kuulizwa akili ni nini? What is intellect? Akasema akili ni ...