Pichani, mmiliki wa blog ya jojothefighter (Josephine Joseph)
Juzi kati katika ukurasa wangu wa facebook nilitoa post hii:
1. Mwigulu - Iramba
2. Nape - Mtama
3. Mwakasaka - Tabora Mjini
4. Mama Sitta - Urambo
5. Kadutu - Ulyankulu
6. Bashe - Nzega
7. Ngeleja - Sengerema
8. Seif - Igunga ktk jimbo jipya.
9. Masaburi - Ubungo
10. Patel - Ukonga
11. Prof Kamala - Nkenge, Misenyi
12. Kagasheki -
13. Lukuvi - Isimani
14. January - Bumbuli
15. Muhongo - Musoma vijijini
16. Ndugai - Kongwa
17. Chumi - Mafinga
18. Kigola - Mufindi kusini
19. Mgimwa - Mufindi kaskazini
20. Filikunjombe - Ludewa
21. Mgimwa - Kalenga...
22. Lusinde - Mtera
23. Imani Moshi - Kaliua
24.Mwakasaka -Tabora mjini
25.Fenala Mkangara -Kibamba
26.Mapunda-Mbinga mjini
27.Masele -Kahama
28.Antony Mavunde-Dodoma
Afardin Issavi Mbona
mgimwa imejirudia mara mbili??hayo ya ccm tuwekee na chadema au wewe
shabiki wa ccm?km wa ccm sio wote tunaopenda chama cha majambazi,
Josephine Joseph Huwa nna post habari za vyama vyote... hii ni taarifa sio ushabiki
Faustine Venant Dada Masele Kahama au Shinyanga mjini?
Buberwa Robert Wewe
unayelalamikia kuwekewa majina ya chadema huelewi nini jana ccm ndio
wamefanya hii shughuli sasa chadema wanakujaje hapa au basi tu mradi
uharibu post ya mwenzio?
Masoud Kaftany Watu
wengine ccm ndio jana wanejafanya kura za maoni ndio maana mwanamtandao
anawajuza wanachi matokeo sasa we ulitaka awaweke chadema jana
walifanya uchaguzi wapi wa kura za maoni acheni ubishi usiokuwa wa
maana.mbona cuf.act nk useme we na chadema tu.na itabaki historia
kuingia ikulu hawaendi wagojwa wala wezi kule.mwandishi tupe habar za
matokeo tujue matokeo
Masoud Kaftany Kahama
Venance Mwaikambo jamani naomba matokeo ya kwa wasira na kuhusu kigwangala na mwenzie
Nghonoli P Daud Mbona hujatoa matokeo ya Nzega vzuri???
Nghonoli P Daud Tuwekee na UKAWA
Shamim Abdallah Kawe vpi
Nghonoli P Daud Huyu Dada atakuwa Kada wa CCM mbona kaweka matokeo ya CCM tu!!! Wakati majimbo kibao UKAWA wameshapata wagombea!!!
Manfred Yustas Cc hatushabikii baiskeli za miti tehe tujuze ya ccm
Venance Mwaikambo Jana
ndo kulikuwa na kura za maoni za wagombea wa ccm nchi nzima, chadema
walishapata wagombea wao tayari wiki kama moja iliyopita, kuhusu chama
kipi kitasimamisha mgombea wa ukawa katika jimbo flani bado
hawajatangaza @ Nghonoli P Daud
Peter Simon Ni kweli ikulu hawaendi wagonjwa na vichaa
Dotto John Boniphace Bunda mjini wasira ameshinda
Masoud Kaftany Safi sana,mwakalebela iringa mjini ameshinda.
John Tarimo arumeru mashariki je?
Omary Mussa Pole Jojo na hongera sana
Unlike · Reply · 1 · August 3 at 4:41pm
Join me on Instagram! - I'm on Instagram as @jojothefighter. Install the app to follow my photos and videos. http://instagram.com/download/?r=381300177
Join me on Instagram! - I'm on Instagram as @jojothefighter. Install the app to follow my photos and videos. http://instagram.com/download/?r=381300177














No comments:
Post a Comment