14 November, 2023

LADY JAYDEE AMLETEA ZAWADI MTALAKA WAKE

 

Staa wa Bongofleva, Lady Jaydee amemletea zawadi ya perfume mtalaka wake, Gardner G Habash ambaye ni Mtangazaji wa Clouds FM. 

 

Utakumbuka Lady Jaydee na Gardner walifunga ndoa Mei 2005 na kuachana rasmi kwa talaka Desemba 2016, ikiwa ni miaka 10 ya ndoa.

 

Je, wewe unaweza kumpa zawadi mtalaka au ex wako?.


No comments:

Post a Comment

UKIONDOA DIPLOMA, DEGREE AU PHD ULIYONAYO, KICHWA CHAKO KINABAKI NA NINI?

Horace Mann - Binadamu wa kwanza kugundua wazo la elimu Albert Einstein aliwahi kuulizwa akili ni nini? What is intellect? Akasema akili ni ...