14 November, 2023

SINA MUME, SINA MCHUMBA

 


⚠️😳 "Mume sina na mchumba sina, labda wananiogopa maana hatokei mtu wa kuniambia ananipenda nahisi wananiogopa, sijaolewa na mtu akija why not?"

 "Nataka kubadili dini nitoke kwenye ukristo niwe muislam, na sitabadili kwasababu ya mwanaume, ni mimi mwenyewe nimeamua kwasababu napenda mambo ya kiislamu"

 Aidha amesema "kufua sijui na hii itakuwa ngumu kidogo kwangu kwasababu dada yupo ananifulia, lakini pia kuna mashine za kufulia ila kupika niko vizuri kiasi" - amesema  Madame Rita

 Hata hivyo, Madame Rita amesema kipindi cha nyuma alishawahi kuwa katika mahusiano pia ana mtoto mmoja ila kwasasa ndio hayupo katika mahusiano na akitokea mtu wakapendana na kutaka kufunga ndoa hana hiana kufanya hivyo


No comments:

Post a Comment

UKIONDOA DIPLOMA, DEGREE AU PHD ULIYONAYO, KICHWA CHAKO KINABAKI NA NINI?

Horace Mann - Binadamu wa kwanza kugundua wazo la elimu Albert Einstein aliwahi kuulizwa akili ni nini? What is intellect? Akasema akili ni ...