Never afraid to try on your own; No matter what, you can keep it real. Trust yourself...
25 February, 2012
HUU SI UTU!
Iliwahi kuripotiwa huko Bara la Asia wanamini kuzaa mtoto wa kwanza wa kike ni Dalili za mambo mabaya huko mbeleni, hivyo huwa wakizaa watoto wa kike wanawatupa. Huu si utu kabisa, pengine hata wewe unajiuliza shirika la UNICEF linafanya kazi gani? Wakati wengine wanalia na kuomboleza ili wapate watoto wengine wanawatupa. Baadhi ya wanawake huko bara la Asia hutupa watoto wao wa kwanza wa kike kwasababu ya mila, sina uhakika kama Tanzania kuna mila hii.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
UKIONDOA DIPLOMA, DEGREE AU PHD ULIYONAYO, KICHWA CHAKO KINABAKI NA NINI?
Horace Mann - Binadamu wa kwanza kugundua wazo la elimu Albert Einstein aliwahi kuulizwa akili ni nini? What is intellect? Akasema akili ni ...
-
Ee Mungu Mwenyezi uliyekubali Mwanao Yesu Kristu ateswe mpaka kufa msalabani kwa ajili ya dhambi zangu naomba uwe nami. Ee Msal...
-
Dodoma. Bunge Maalumu la Katiba linaanza vikao vyake tena leo mjini Dodoma, huku kukiwa na jitihada kubwa za kujaribu kuweka udh...

No comments:
Post a Comment