Never afraid to try on your own; No matter what, you can keep it real. Trust yourself...
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
UKIONDOA DIPLOMA, DEGREE AU PHD ULIYONAYO, KICHWA CHAKO KINABAKI NA NINI?
Horace Mann - Binadamu wa kwanza kugundua wazo la elimu Albert Einstein aliwahi kuulizwa akili ni nini? What is intellect? Akasema akili ni ...

-
Ee Mungu Mwenyezi uliyekubali Mwanao Yesu Kristu ateswe mpaka kufa msalabani kwa ajili ya dhambi zangu naomba uwe nami. Ee Msal...
-
Baada ya miaka 13 ya kuwapo katika fani ya sanaa ya maigizo, hakuna shaka kwamba, Ste...
Kumzuia mtu asipande daladala ambayo ni mojawapo ya huduma ya msingi kwa mtu wa DSM eti kwa sababu ana nguo au sare ya chama fulani cha siasa ni kupingana na kukiuka katiba ya nchi inayompatia kila mtu haki ya kuwa huru kwa nyanja zote ili mradi tu havunji sheria. Sijaelewa hili litafanyika kwa kutimiza sheria ipi au sehemu ipi ya katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Naomba nieleweshwe. Mimi pia ni mwana harakati lakini hii haijanifanya nisimame juu ya sheria.
ReplyDelete